Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu King Kong III sifanyi kwa uzembe nafanya kwa nguvu kweli kweli mpaka mwenzangu anaridhika
Mkuu King Kong III sifanyi kwa uzembe nafanya kwa nguvu kweli kweli mpaka mwenzangu anaridhika
Jamani hawachakachui majibu?
Mkuu King Kong III sifanyi kwa uzembe nafanya kwa nguvu kweli kweli mpaka mwenzangu anaridhika
Nyani Ngabu, home-test kits zinapatikana Bongo, lakini kuja nazo ni rahisi zaidi kama unasafiri.
Ila mimi kwa kweli hii kitu nahisi itaongeza kasi ya maambukizi kwa watu... NINA SWALI AMBALO HUJIULIZA NA LINAHITAJI MAJIBU YA HARAKA kuhusiana na hili, nalo ni kwamba: Ni muda gani inatumia baada ya mtu kukwaa mawaya kuweza kuonekana kwenye vipimo vya mate, hizo home-kit au vinginevyo vyovyote vile. Na baada ya mtu kukwaa mawaya ni muda gani yanatapakaa hata kuweza kuyanasisha kwa mwenzake?!
Akhsante.
Sina uhakika kama kimeshaingia bongo ila kama vipi mi naweza kukuletea maana nashuka muda si mrefu.
Mpiganaji, tafazali usinisahau katika ufalme wako. Letea na mimi huu mzigo. Videmu vya bongo havikwepeki bana.
Mkuu King Kong III sifanyi kwa uzembe nafanya kwa nguvu kweli kweli mpaka mwenzangu anaridhika
Teh teh teh....naona itabidi nije na stock kubwa kuhakikisha makamanda wote wanakuwa supplied na hiyo zana.
Fidel80 acha ngono zembe kijana!
kuna siku nilikua hospitali moja hapa Dar ya private. Akaja baba mmoja na makelele yake, kama haya "nataka kupima ngoma maana nataka kuanza mazoezi, ili nikipungua watu wasidhani nina ngoma". Watu wote waliokua pale waliangua kicheko. Akaandikiwa aende Lab. Vile mimi ilikua zamu yangu, yule dada wa reception akaniambia, anayejitangaza hivi anapima na majibu wala hafuati. akanionyesha mafaili matatu yamejaa majibu ya waliopima lakini hawakuja kufuata majibu yao.
Fidel80 usije ukawa mmoja wao, makelele mengi halafu uache majibu hospitali. isitoshe hukua na sababu ya kuja hapa. Nadhani nusu ya hospitali sasa hivi wanapima na majibu ni chap chap. Kila la kheri kama kweli unamaanisha au umeamua kustrarehesha MMU.