Mvua zilishakata mkuu, wakulima wameshaanza kuvuna.bwana rene jr huko songea mvua zilishakata na watu wamevuna tayari maanake kwa dar mvua zinarindima sana sasa sijui huko vipi maanake mimi nilikuwa napiga hesabu nijikusanye mwezi huu na wa sita wote kisha niingie kwenye hii biashara au nitakuwa nimepishana na nyakati na nauliza vipi siwezi kuifanya hii biz kuanzia mwezi wa saba au mambo yatakuwa yamebadilika sana ushauri wako plz niko serious na hii mambo nishawasumbua sumbua sana wadau fulani fulani kwa pm humu ila namshukuru huyu bwana napoleone kwa kuleta uzi kabisaa na wadau wameuchangia
Leo hii nimefika hapa Kyerwa Maharage yameanza kufurika kutoka mashambani na bei yake ni tshs 175000/= kwa bei ya madalali kwa gunia lenye kg 120. Na Maharage mengine kibao. Ukifika mwenyewe au kuna namba ya Dalali mmoja maarufu ninayo ukihitaji nitakupa kwa msaada zaidi juu ya Maharage mkuu.mkubwa nikushukuru kwa kuchangia lakini kaka tunaomba ungetutajia maeneo yenyewe kabisa maana kagera ni kubwa alaf na bei za huko kuhusu bei za masoko hizo wadau tunaweza tu kuzitafuta
Kweli mkuu niko songea vijijin huku ndio bei hiyo kilo ya mahindi 400 kwa sasaSongea kaka, Songea....nenda mapema kakusanye mahindi. Wakati wa mavuno kilo mpaka sh400. Act fast
Kijiji ganiK
Kweli mkuu niko songea vijijin huku ndio bei hiyo kilo ya mahindi 400 kwa sasa
Mkuu kunasoko LA karibu huko...,au ndo vle ununue usafirixhe upeleke dar...!!!!Katavi mahindi ni mengi sana tena cheap.Maeneo ya Majimoto na Inyonga huko ni kama unapewa bure.
Kumbara na vijiji vingi njia ya kuelekea namtumboKijiji gani