chakula cha watoto
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 539
- 1,507
Stak madem,nipe fursaSeychelles,idadi ya watu ni ndogo mno ,pia kua warembo wa kutisha mno
Penye mademu pana fursaStak madem,nipe fursa
Uzur wake nnKka nasikia namibia pazuri ila sijaona wabongo wakikaa huko
Fursa Kama zipi zipo
Nenda Botswana nimekua huko several timesBongo staki tena nataka nikimbie,naombeni ushaur kati ya hizo nchi wapi angalau nikienda sifi njaa nikipambana kati y'a BOTSWANA MAURITIUS NAMIBIA au Sychelles au south Africa
Au Morocco,na nchi nyingine ongezea..Bongo staki.naombeni pia kama Kuna wenyeji kwenye hizo nchi wanitafute PM au hapa hapa
Una namba ya mtanzania yupo kule?Nenda Botswana nimekua huko several times
Wewe jilipue nendaa usisahau mrejesho humu ndani jfUna namba ya mtanzania yupo kule?
Africa panafananaKka nasikia namibia pazuri ila sijaona wabongo wakikaa huko
Poa kakaWewe jilipue nendaa usisahau mrejesho humu ndani jf
ππππAfrica panafanana
Toa fursa za botswana mkuuNenda Botswana nimekua huko several times
Toa fursa kwa ntaji kama wa 20mNjoo Botswana
Upo BOTSWANA?Njoo Botswana
Nipo kwenye chombo chamoto ngoja nitulie kidogo ntarudToa fursa za botswana mkuu