Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa dampo, ukikata kona kwenye njia inayoshuka kuelekea roundabout ya Nyerere mkono wako wa kushoto hapo hapo kona tu utaona maduka mawili yanafatana yote yanauza vifaa used vya electronics i.e fridges, pasi, electric kattles, micro waves nk nk.Wakuu bila kuwapotezea muda naomba kujua chimbo ambalo naweza kupata friji za Mtumba imara kwa hapa Mwanza.
Asanteni.
Asante sana.Mostly bei zao zinaanzia sh ngap mkuuUkiwa dampo, ukikata kona kwenye njia inayoshuka kuelekea roundabout ya Nyerere mkono wako wa kushoto hapo hapo kona tu utaona maduka mawili yanafatana yote yanauza vifaa used vya electronics i.e fridges, pasi, electric kattles, micro waves nk nk.
Kwenye bei mkuu sifahamu, huwa naviona hivyo vifaa nikiwa napita maeneo hayo tu. Kama upo jirani ni vema ukawatembelea kwa taarifa zaidi.Asante sana.Mostly bei zao zinaanzia sh ngap mkuu