Joseph 44
Member
- Nov 14, 2022
- 49
- 21
Kaka a
Dr
Kaka hizi psu ndo nini na zinafanya kazi ga
Ahaaa Apo sawa mkuu na vipi ukiinunulia inverter si itadumu mkuu?Power supply unit, zinaingiza umeme kwenye computer,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka a
Dr
Kaka hizi psu ndo nini na zinafanya kazi ga
Ahaaa Apo sawa mkuu na vipi ukiinunulia inverter si itadumu mkuu?Power supply unit, zinaingiza umeme kwenye computer,
Una maanisha stabiliser? Maana psu haihitaji inventer, yenyewe ina convert umemeAhaaa Apo sawa mkuu na vipi ukiinunulia inverter si itadumu mkuu?
Kumbe kwaio inatumia stabilizer sasa hio stabalizer ndo inazuia isipungue? Na inauzwa shingapiUna maanisha stabiliser? Maana psu haihitaji inventer, yenyewe ina convert umeme
Sio lazima stabiliser, tumia tu njia za kawaida kama unavyo protect, friji, TV etc nyumbani.Kumbe kwaio inatumia stabilizer sasa hio stabalizer ndo inazuia isipungue? Na inauzwa shingapi
Alafu Kaka kuna page Instagram nimeiona inaitwa Nusra matelephone ni Mfanyabiashara wa vifaa vya electronics uko handeni Tanga eti anauza ps4 slim ya 1tb 420000 ivi ni kweli Kaka na nimezungumza nae amenipunguzia mpak 380000 na kinachoniua kabisa ananiambia niende dukani kwake nikakague mzigo apa sielewi ni kweli au ni tapeli mkuu nisaidie.Sio lazima stabiliser, tumia tu njia za kawaida kama unavyo protect, friji, TV etc nyumbani.
Huyo ni Tapeli aliekubuhu anafahamika, ukiona mtu ana bidhaa kali yupo mkoani kimbia fasta.Al
Alafu Kaka kuna page Instagram nimeiona inaitwa Nusra matelephone ni Mfanyabiashara wa vifaa vya electronics uko handeni Tanga eti anauza ps4 slim ya 1tb 420000 ivi ni kweli Kaka na nimezungumza nae amenipunguzia mpak 380000 na kinachoniua kabisa ananiambia niende dukani kwake nikakague mzigo apa sielewi ni kweli au ni tapeli mkuu nisaidie.
Mbona ananiambia niende dukani nikakague mzigo na na kingine kasema kama kuna ndugu yangu anaishi Tanga aende akakague na kuchukua badala yangu??Huyo ni Tapeli aliekubuhu anafahamika, ukiona mtu ana bidhaa kali yupo mkoani kimbia fasta.
Ngoja wa built desktop wajeSorry hapo natafuta gpu au vram kwa ajili ya modern games power supply yangu ya pc desktop ni 350 watt ivo inaweza kusukuma gpu sema sina usoefu na kujua ipi itanifaackwa game kama far cry 5,state of decay 2,gta 5 na recent games
Nusra matelephone ni tapeli huyoHuyo ni Tapeli aliekubuhu anafahamika, ukiona mtu ana bidhaa kali yupo mkoani kimbia fasta.
Tapeli huyo niliuzia Tanga nzima washkaji hawakuona Hilo duka lakeMbona ananiambia niende dukani nikakague mzigo na na kingine kasema kama kuna ndugu yangu anaishi Tanga aende akakague na kuchukua badala yangu??
Kama hela ipo nunua gaming laptop(GTX/rtx) na cooling pad Yako na pad zako Xbox aha maisha umeyapatiaHabari ya uzima wakuu,
Naomba mnishauri wapi nitapata gpu nzuri na ikiwezekana mniambie ninunue toleo gani bajeti yangu 400k asante
CHIEF MKWAWA
Mbona ananiambia niende dukani nikakague mzigo na na kingine kasema kama kuna ndugu yangu anaishi Tanga aende akakague na kuchukua badala yangu??
📍DUKA LIPO TANGA MJINI BARABARA YA 6 KAMA UNAENDA MSIKITI WA IJUMAA📌 ndo maelezo aliyonipa mwambaTapeli huyo niliuzia Tanga nzima washkaji hawakuona Hilo duka lake
Barabara 6 kama unaenda msikiti wa ijumaa hata hakuna duka la Tech, anakuzingua tu huyo jamaa, kama huamini tuma mtu.📍DUKA LIPO TANGA MJINI BARABARA YA 6 KAMA UNAENDA MSIKITI WA IJUMAA📌 ndo maelezo aliyonipa mwamba
Asante Kaka kwanza mimi mwenyewe nimeshangaa khaaa ps4 ya 380000??😟Barabara 6 kama unaenda msikiti wa ijumaa hata hakuna duka la Tech, anakuzingua tu huyo jamaa, kama huamini tuma mtu.
Kaka na Hawa game store Tz nawao vipi?? Au ni walewale?Barabara 6 kama unaenda msikiti wa ijumaa hata hakuna duka la Tech, anakuzingua tu huyo jamaa, kama huamini tuma mtu.
Siwafahamu, just ulizia walipo nenda mwenyewe physically.Kaka na Hawa game store Tz nawao vipi?? Au ni walewale?
Ulikuwa unahitaji nini upewe muongozo..?Kaka na Hawa game store Tz nawao vipi?? Au ni walewale?
Asante mkuuUlikuwa unahitaji nini upewe muongozo..?
Biashara za mikoani kimbia.. wengi wezi.
Kama ni Dar hakikisha unaenda au unatuma mtu.