Scolari
JF-Expert Member
- Aug 25, 2017
- 1,721
- 2,383
Kwema watu wa ulimwengu?
Wapi nitapata buffee kwa Mwanza na Dar mahali ambako nitaenda kulipa pesa na kula ninavyotaka? Namaanisha nikishalipa naruhusiwa kula chochote isipokua kubeba tu.
NB: Kama haujui kama mimi soma comments majuvi watusaidie, hii siyo thread ya story.
Wapi nitapata buffee kwa Mwanza na Dar mahali ambako nitaenda kulipa pesa na kula ninavyotaka? Namaanisha nikishalipa naruhusiwa kula chochote isipokua kubeba tu.
NB: Kama haujui kama mimi soma comments majuvi watusaidie, hii siyo thread ya story.