Wapi nitapata Elimu ya Kilimo cha Nyanya za Kisasa?

nakaribish yeyoye.nipo kwembe hkkfika luguruni wilayani ubungo nipigie 0788305012 njoo shambani namk ndiyo nimeanZa zipo na mwezi ilanashukuru miche 1000 na eneolipo kunwa njko ukkdity .now
 
Kuna kampuni inaitwa Epinav agro & farmers group. Ni msaada mkubwa sana. Wanakuja mpaka shambani bila gharama na wana kundi lao LA wasapu. Tuma namba inbox wakuunge au watafute fb.
Wako wapi? Na wenyewe wananufaikaje na hiyo huduma?
 
nakaribish yeyoye.nipo kwembe hkkfika luguruni wilayani ubungo nipigie 0788305012 njoo shambani namk ndiyo nimeanZa zipo na mwezi ilanashukuru miche 1000 na eneolipo kunwa njko ukkdity .now
πŸ™πŸ™πŸ™
 
Waloma Kilimo na Ufugaji.
Hawa jamaa huwa wanatoa Elim na ushauri kwa Elf 25 nadhani.

Wapo Ubungo njia panda ya chuo na Makongo ndipo Shamba darasa lilipo.
Mkurugenzi wao Anaitwa George Sanga.

Niinbox nkutumie mawasiliano yao au
Unaweza watafuta Insta pia kujiridhisha.
 
Uko mkoa gani mm Nina a,b,c za mbegu Bora ya kupanda, utunzaji mimea jinsi ya kuandaa Shamba hivyo kama una utayari tuwasiliane whtsapp au kawaida no 0625537380
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…