Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Si Bora ungenyamaza tu Mkuungoja waje
Bangiri ndio nini
Inaelekea una ghadhabu sanaππππSi Bora ungenyamaza tu Mkuu
una gubu πSi Bora ungenyamaza tu Mkuu
Amesaidia kuhuisha uzi wakoSi Bora ungenyamaza tu Mkuu
Umeshaingia kwenye mfumo wa WamakondeWakuu, nipo mjini Mtwara. Nahitaji nipate vitu vifuatavyo.
Vyote hivyo viwe English Gold materials.
- Pete za ndoa
- Pete za uchumba
- Mkufu
- Hereni na brcelet
Naomba kufahamishwa maduka gani niende nyie wenyeji wa Mtwara
π€£πUmeshaingia kwenye mfumo wa Wamakonde
Ungekuwa serious na maisha yako usingekoment hapaKwamba umeshindwa Kutembea hapo Mtwara mjini ukauliza hadi uje uulize humu watu ambao wengi wao wanaishi Dar es salaam & New York?
Yaani wewe upo Mtwara lakini unashindwa Kutembea mwenyewe hapo town kutafuta unataka watu wa JF ambao wapo Dar es salaam wakuulizie?
Kijana hauko serious na maisha!
Njoo nikuvishe Pete mara moja,, namtafuta wa kumvisha peteuna gubu π
Ni kama miaka mingapi imepita mkuu..? Maana watu hawakawi kuhama mijiKulikuwa na duka la sonara maeneo karibu na makutano ya Bima kama umetokea Uwanja wa Nangwanda siku hizo.
Sasa si amuulize huyo anaetaka kumvesha(natumaini ni mwenyeji)...Kulikuwa na duka la sonara maeneo karibu na makutano ya Bima kama umetokea Uwanja wa Nangwanda siku hizo.
Sasa si amuulize huyo anaetaka kumvesha(natumaini ni mwenyeji)...nendKulikuwa na duka la sonara maeneo karibu na makutano ya Bima kama umetokea Uwanja wa Nangwanda siku hizo.
Nenda hapo kituo cha mabasi ya zamani..siku hizi kituo cha daladala.Ni kama miaka mingapi imepita mkuu..? Maana watu hawakawi kuhama miji