Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vuta subra, kua mstahimilivu,Hamtaki kujibu au hamjui?
ofisi zao ziko wapi Mwanza?Fika ofisi za TARI
😂vuta subra, kua mstahimilivu,
jambo muhimu na la maana kama hili halihitaji haraka papara aise🐒
Uache tu huku mkuu, kule watu wanalima mambo mengine.Mods mi napeleka huu uzi kwenye jukwaa la mahusiano.... msiutoe.
Asanteni kwa wote mliochangia, nimewasiliana na mtu wa TARI kaniambia kwa sasa mbegu zipo hatua ya packaging, zikiwa tayari watanijulisha.Unataka kiasi gani mkuu...Arusha unaweza kupa mbegu hizo maeneo ya Selian research centre
Weka jina la mdau au namba.Ndio, niliagiza Sumbawanga.