dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
Sikutegemea kwakwelimnavoshtuka sasa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikutegemea kwakwelimnavoshtuka sasa!
Mkuu anajua kama yesu yupo... Mtuliage wakati mwengineYesu ni mganga mzuri kuliko vigagula vyote
Specialty yako ni ipi boss?Nakuomba tafadhali fafanua aina ya tatizo uweze kusaidika kwa wepesi.. Waganga wana fani tofauti
Kuna ambao fani yao ni mahusiano tu
Kuna ambao fani yao ni madeni tuu
Kuna ambao fani yao ni kuua na kuharibu tuu nknk
NakubaliNakuomba tafadhali fafanua aina ya tatizo uweze kusaidika kwa wepesi.. Waganga wana fani tofauti
Kuna ambao fani yao ni mahusiano tu
Kuna ambao fani yao ni madeni tuu
Kuna ambao fani yao ni kuua na kuharibu tuu nknk
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]Hahahahahahahaahahahaha nimecheka sana hii kumbe mmejicategorize kbs[emoji1787][emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji2839][emoji2839][emoji40][emoji40][emoji40][emoji851]Specialty yako ni ipi boss?
Uganga ni taaluma kama taaluma zingine tu kwa hiyo hutakiwi kuchekaHahahahahahahaahahahaha nimecheka sana hii kumbe mmejicategorize kbs🤣🤣
Ume specialize kwenye emotions?[emoji3][emoji3][emoji2839][emoji2839][emoji40][emoji40][emoji40][emoji851]
Hakuna ndumba za kumfanya mdeni akulipe! Sana sana unatoa onyo na muda..Mshana Jr msaidie connectio mleta mada hata kama umeacha hizo mambo ila connection tu sidhani kama ina shida[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]Ume specialize kwenye emotions?
Basi utakuwa mtaalamu wa mambo ya mapenzi.
Kwa Wasukuma!Upo mkoa gani mkuu?
Kuna mmoja yupo hapa Nyamadoke jijini mwanza yuko vizuri.
Mengineyo njoo inbox
ChatoNina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Naunga mkono hojaYesu ni mganga mzuri kuliko vigagula vyote
Yesu ni mganga?🙄Yesu ni mganga mzuri kuliko vigagula vyote
Wabongo utawaweza kwa unafki? Yaani utadhani wao hawaendagi kwa hao waganga 😂😂mnavoshtuka sasa!
Ndio 50% ni wasukuma the rest ni makabila mengine akina mshana na marwaKwa Wasukuma!
Zingatia neno KIGENIHivi kuna tofauti ya mganga wa kienyeji na mganga wa kigeni?
We kaka vipi na wasukuma?tumekukosea nini?Kwa Wasukuma!