kimbunga jobo
Member
- May 24, 2021
- 15
- 42
Mkuu nahitaji kushusha mtu kishipaHakuna ndumba za kumfanya mdeni akulipe! Sana sana unatoa onyo na muda..
Muda ukipita dondosha mmoja halafu wengine wapate taarifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nahitaji kushusha mtu kishipaHakuna ndumba za kumfanya mdeni akulipe! Sana sana unatoa onyo na muda..
Muda ukipita dondosha mmoja halafu wengine wapate taarifa
Hiyo ndio hali halisiHivi eh?
Kwisha habari yako!
𝗡𝗷𝗼𝗼 𝗻𝗶𝗸𝘂𝗽𝗲 𝗻𝗮𝗺𝗯𝗮 𝗺𝘁𝘂 𝗳𝗹𝗮𝗻𝗶 𝗮𝘀𝗶𝗲 𝗻𝗮 𝗸𝗲𝗹𝗲𝗹𝗲. 𝗠𝗮𝘁𝗼𝗸𝗲𝗼 𝘂𝘁𝗮𝘆𝗮𝘀𝗶𝗸𝗶𝗮 𝗵𝘂𝗸𝗼 𝗵𝘂𝗸𝗼 𝗸𝘄𝗮 𝘀𝗶𝗺𝘂 𝘆𝗮𝗸𝗼.Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
sikuwa makini, wakati nafungua ndyo nakajua lengo la jamaa na nikarejea vizuri tittle.
Kwisha habari yako!Pole mlokole ! Siku hizi nasikia mmepewa. Na upako wa kumdedisha mtu na kumfufua,
, pumbavuh!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwisha habari yako!Vipi na masturbation kwa walokole inaruhisiwa sio.
Kumbe kufanya masturbation kwa wanaume ni muhimu
Jamani nimesoma article moja mtandaoni, inasema masturbation ni normal and natural kwa wanaume na inashauriwa kiafya mtu afanye mara kwa mara na akishindwa kabisa afanye japo mara moja kwa mwezi, inasaidia kupunguza tatizo la kukujoa mapema akiwa anajamiiana na mwenzi wake pia hupunguza...www.jamiiforums.com
Sasa si umwambie kaka yako aache kuntegenea mke wake!Hivi unajisikia vip kakaako mkewe ambae ni shemeji yako anamuingiza hawara ndani na unajua na kuona dhambi inayofanyika kakaako anafukuzwa ndani mbele ya hawara yake nae yupo hapo hapo kweny nyumba mnayoishi . Ngoja niishie hapo ...
Nitafutie nataka ni deal na wote waliohusika kwenye kuleta hizi wanaita kodi za kizalendo!!Nakuomba tafadhali fafanua aina ya tatizo uweze kusaidika kwa wepesi.. Waganga wana fani tofauti
Kuna ambao fani yao ni mahusiano tu
Kuna ambao fani yao ni madeni tu.
Kuna ambao fani yao ni kuua na kuharibu tuu nknk
Mimi naona uje msalabani ndio kila kitu
Yesu anatutosha
Habari mkuu.Nimemkumbuka pia mganga wa pale Ukerewe, alimrudishia jamaa bida zake zilizoibiwa, aliwapa watu wapige kazi boda mpya 3 alafu wao wakajiona masonko wakatoroka nazo kila mtu akahama mkoa, kilichofuatia kila mmoja wao anakuja mbio kutoka huko alikokuwa anapiga mwano anamtafuta mwenye boda na kuangukia pale pale anakata moto[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mwingine yeye ni kiboko yupo Kigoma anaweza akakufanyia kazi yako kwenye simu ili mradi umpe jina lako ama la adui yako inategemea na shida uliyo nayoHabari mkuu.
Samahani naomba unielekeze vizuri namna ya kumpata huyu mganga.
Anapatikana wapiNjoo kwa Kristo wewe jamaa, achana na hao watumishi wa ibilisi.
YESU NI MWOKOZI
Kama malipo ni baada ya kazi naomba namba yake mkuuKuna mwingine yeye ni kiboko yupo Kigoma anaweza akakufanyia kazi yako kwenye simu ili mradi umpe jina lako ama la adui yako inategemea na shida uliyo nayo
kuhusu malipo ni baada ya kazi
Ahsante Mkuu,naomba namba zake tafadhariKuna mwingine yeye ni kiboko yupo Kigoma anaweza akakufanyia kazi yako kwenye simu ili mradi umpe jina lako ama la adui yako inategemea na shida uliyo nayo
kuhusu malipo ni baada ya kazi