Wapi nitapata orodha ya taasisi zote, mamlaka zote, Asasi za Kiraia, Non profit Organizations na Vyama mbalimbali?

Wapi nitapata orodha ya taasisi zote, mamlaka zote, Asasi za Kiraia, Non profit Organizations na Vyama mbalimbali?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Habari za maisha wakuu,

Natamani nipate andiko ambalo limeorodhesha taasisi zote za serikali na binafsi, wakala, mamlaka, NGO'S Na vyama ili nijue dhima yake Na mambo inayosimamia.

Nimechungulia kayika tovuti kuu ya serikali lakini naona inapwaya information ilizonazo hazijitoshelezi ofisi nyingi tu hazijatajwa je zimeorozeshwa katika chapisho gani?

Asanteni
 
Habari za maisha wakuu,

Natamani nipate andiko ambalo limeorodhesha taasisi zote za serikali na binafsi, wakala, mamlaka, NGO'S Na vyama ili nijue dhima yake Na mambo inayosimamia.

Nimechungulia kayika tovuti kuu ya serikali lakini naona inapwaya information ilizonazo hazijitoshelezi ofisi nyingi tu hazijatajwa je zimeorozeshwa katika chapisho gani?

Asanteni
Kwa kifupi ni kwamba data zinauzwa, towa pesa au nenda mwenyewe manually.
 
Habari za maisha wakuu,

Natamani nipate andiko ambalo limeorodhesha taasisi zote za serikali na binafsi, wakala, mamlaka, NGO'S Na vyama ili nijue dhima yake Na mambo inayosimamia.

Nimechungulia kayika tovuti kuu ya serikali lakini naona inapwaya information ilizonazo hazijitoshelezi ofisi nyingi tu hazijatajwa je zimeorozeshwa katika chapisho gani?

Asanteni
Idara kuu ya utumishi au msajiri wa mashirika ya umma,wizara ya mambo ya ndani watakupa orodha zote unganisha
 
Back
Top Bottom