Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Habari zenu wanajukwaa!
Kama kichwa kinavyojielezea.lengo langu ni dogo awe professional tennis player. Yaani nguvu nyingi na muda mwingi azielekeze huko kuliko masomo ya darasani.
Mazingira yatamjenga Nina Imani iyo. Yaani wakiamka kila asubuhi saa kumi mpaka saa mbili asubuhi ni mazoezi afu darasani wanaingia labda saa 3 mpaka saa 7 mchana wanapata lanchi.
Saa kumi wanaingia uwanjani mpaka saa mbili ama saa moja jioni wanapumzika. Wanasoma like two hours afu wanalala saa nne mpaka saa kumi. Yaani iwe ni ratiba Yao ya kila siku.
Wanasoma ili wajue Mambo basics za maisha na sio kukomalia kisomo Kama ndo kila kitu in life.
Ama hata kituo kilichojikita katika michezo pekee ama kwa kiwango kikubwa.
Kama kichwa kinavyojielezea.lengo langu ni dogo awe professional tennis player. Yaani nguvu nyingi na muda mwingi azielekeze huko kuliko masomo ya darasani.
Mazingira yatamjenga Nina Imani iyo. Yaani wakiamka kila asubuhi saa kumi mpaka saa mbili asubuhi ni mazoezi afu darasani wanaingia labda saa 3 mpaka saa 7 mchana wanapata lanchi.
Saa kumi wanaingia uwanjani mpaka saa mbili ama saa moja jioni wanapumzika. Wanasoma like two hours afu wanalala saa nne mpaka saa kumi. Yaani iwe ni ratiba Yao ya kila siku.
Wanasoma ili wajue Mambo basics za maisha na sio kukomalia kisomo Kama ndo kila kitu in life.
Ama hata kituo kilichojikita katika michezo pekee ama kwa kiwango kikubwa.