Wapi nitapata soko zuri la maziwa Tanzania?

Wapi nitapata soko zuri la maziwa Tanzania?

Muchaa

Member
Joined
Oct 11, 2018
Posts
12
Reaction score
5
Wakuu habari zenu , naomba msaada wenu juu ya suala zima la soko la maziwa nchini Tanzania na hata nje ya mipaka ya Tanzania kwa mwenye details zozote zinazoweza kuwa msaada kwangu tafadhali tusaidiane.
 
Wakuu habari zenu , naomba msaada wenu juu ya suala zima la soko la maziwa nchini Tanzania na hata nje ya mipaka ya Tanzania kwa mwenye details zozote zinazoweza kuwa msaada kwangu tafadhali tusaidiane.
Mkuu mbona hiyo namba uliyoweka hapa nakupigia haupokei...🤨
 
Watu hawapendi sana maziwa wa ndezi Mkuu, au yafanye yawe Mtindi atleast watu watanunua hayo maziwa ya ndezi.
 
Wakuu samahani kwa kuchelewa kujibu,
Mimi napatikana mkoani Morogoro na ndiko lilipo shamba langu la ng'ombe idadi elfu 80 wanaozalisha lita 1,600,000 kwa siku, mwakani nategemea kuongeza uzalishaji kufikia mifugo elfu 200.

Kuna wakati bwana mdogo wa ASAS Iringa alikuwa akija kuchukua maziwa kwangu lakini naona ameshindwa kuchukua maziwa yote ndio maana nimeamua kutafuta wateja wengine wa nje ya nchi na ndani ya nchi.

Karibuni tuendelee na mjadala.
 
Wakuu samahani kwa kuchelewa kujibu,
Mimi napatikana mkoani Morogoro na ndiko lilipo shamba langu la ng'ombe idadi elfu 80 wanaozalisha lita 1,600,000 kwa siku, mwakani nategemea kuongeza uzalishaji kufikia mifugo elfu 200.

Kuna wakati bwana mdogo wa ASAS Iringa alikuwa akija kuchukua maziwa kwangu lakini naona ameshindwa kuchukua maziwa yote ndio maana nimeamua kutafuta wateja wengine wa nje ya nchi na ndani ya nchi.

Karibuni tuendelee na mjadala.
Tengeneza mtindi wako
 
Wakuu samahani kwa kuchelewa kujibu,
Mimi napatikana mkoani Morogoro na ndiko lilipo shamba langu la ng'ombe idadi elfu 80 wanaozalisha lita 1,600,000 kwa siku, mwakani nategemea kuongeza uzalishaji kufikia mifugo elfu 200.

Kuna wakati bwana mdogo wa ASAS Iringa alikuwa akija kuchukua maziwa kwangu lakini naona ameshindwa kuchukua maziwa yote ndio maana nimeamua kutafuta wateja wengine wa nje ya nchi na ndani ya nchi.

Karibuni tuendelee na mjadala.
Nimebaki kucheka tu
 
Wakuu habari zenu , naomba msaada wenu juu ya suala zima la soko la maziwa nchini Tanzania na hata nje ya mipaka ya Tanzania kwa mwenye details zozote zinazoweza kuwa msaada kwangu tafadhali tusaidiane.
Dar maziwa wanakunywa sana
 
Wakuu habari zenu , naomba msaada wenu juu ya suala zima la soko la maziwa nchini Tanzania na hata nje ya mipaka ya Tanzania kwa mwenye details zozote zinazoweza kuwa msaada kwangu tafadhali tusaidiane.
Tandale
 
Wakuu samahani kwa kuchelewa kujibu,
Mimi napatikana mkoani Morogoro na ndiko lilipo shamba langu la ng'ombe idadi elfu 80 wanaozalisha lita 1,600,000 kwa siku, mwakani nategemea kuongeza uzalishaji kufikia mifugo elfu 200.

Kuna wakati bwana mdogo wa ASAS Iringa alikuwa akija kuchukua maziwa kwangu lakini naona ameshindwa kuchukua maziwa yote ndio maana nimeamua kutafuta wateja wengine wa nje ya nchi na ndani ya nchi.

Karibuni tuendelee na mjadala.
Vp tanga fresh hawawez kukupa kampani?
 
Back
Top Bottom