COMORIENNE
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 923
- 1,054
Nakusaidia kicheka mkuuNimebaki kucheka tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakusaidia kicheka mkuuNimebaki kucheka tu
Kwa mtogoreeeTandale
Hello boss.Wakuu samahani kwa kuchelewa kujibu,
Mimi napatikana mkoani Morogoro na ndiko lilipo shamba langu la ng'ombe idadi elfu 80 wanaozalisha lita 1,600,000 kwa siku, mwakani nategemea kuongeza uzalishaji kufikia mifugo elfu 200.
Kuna wakati bwana mdogo wa ASAS Iringa alikuwa akija kuchukua maziwa kwangu lakini naona ameshindwa kuchukua maziwa yote ndio maana nimeamua kutafuta wateja wengine wa nje ya nchi na ndani ya nchi.
Karibuni tuendelee na mjadala.
Samahani kwa kuandika Tangazo ambalo halijajitosheleza ila ningependa kujua kama kunasehem unahitaji maelezo zaidiWaTanzania wengi hua tunafeli sana katika swala zima la matangazo ya biashara/bidhaa kwa kutokuweka key points ili mteja aelewe na akose swali.
Tumesha fanikisha kuwa na kiwanda kidogo nakimesha kaguliwa na watu wa viwango sasa tuna tengeneza packed cultured milk , yoghurt pamoja na fresh milk kilicho baki ni kupata tu soko la uhakika..Tengeneza kiwanda usindike ili uongeze thamani, soko la maziwa lipo.