Sawa, unahisi nimedownload picha? Nakutumia zenye neno Jamii forum tena kwa wino wa peni muda si mrefu..., DMMkuu,Chukua kipande cha karatasi,andika neno JAMII FORUM kwenye hiyo karatasi,alafu chukua hizo sarafu zako weka pembeni ya hiyo karatasi neno JAMII FORUM likiwa linasomeka,Piga picha ututumie.
Waganga wa kienyeji ndio walikuwa wakidanganya wafanyabiashara wakilipwa mamilioni wanasema sharti la wewe kuwa tajiri Lete rupia 100 za kijerumani wanajua hatapata na pesa yake imeeenda kiendacho.kwa mganga hakirudi Sasa hivi watu huo utapeli walishaachaWakuu!
Nina sarafu za kizamani za watawala mbali mbali...., kabla sijawa nazo niliambiwa ni dili sana. Leo nimezipata (angalia baadhi ya picha), hivi soko lipo wapi? Mwenye idea aje DM tuongee
Ujuaji sitaki
Karibu
Njaa
Kilichofichwa na mjerumani huwezi kukitoa, wana cult ngumu mno, zenye Illusion nyingi mno!Kuna raia flani wamechimba shimo linalosadikika nila waherumani walifukia mizigo huko namendea mzigo ukitema na mm nizame lokota mali maana washachimba kwa zaidi ya miaka 10 hawajafika mwisho
Huu utapeli bado upo? kwa kifupi hizo pesa hazina kazu, ni utapeli wa kitambo sana,Walio kuwa wanazitafuta hizo peaa ndio hao hao walikuwa nazo yaani wanazitafuta then baadae wanajigeuza wanaanza kuuza tena sasa walio kuwa wanainhia kingi wanauziwa wanabakia nazi labda na wao baadae wajifunze utapeli na wao watafute wajinga wawakamatisheWakuu!
Nina sarafu za kizamani za watawala mbali mbali...., kabla sijawa nazo niliambiwa ni dili sana. Leo nimezipata (angalia baadhi ya picha), hivi soko lipo wapi? Mwenye idea aje DM tuongee
Ujuaji sitaki
Karibu
Njaa
Sina muda wakati huu naandika hii comment, nikipata muda ntarudi kutoa darasa fupi kwako na kwa wengine.Wakuu!
Nina sarafu za kizamani za watawala mbali mbali...., kabla sijawa nazo niliambiwa ni dili sana. Leo nimezipata (angalia baadhi ya picha), hivi soko lipo wapi? Mwenye idea aje DM tuongee
Ujuaji sitaki
Karibu
Njaa