Wapi soko la hela za Kijerumani (Rupee) - ninazo

Wapi soko la hela za Kijerumani (Rupee) - ninazo

Sina muda wakati huu naandika hii comment, nikipata muda ntarudi kutoa darasa fupi kwako na kwa wengine.

Ni vitu ambavyo vipo, mimi Binafsi nimevishuhudia kwa macho baadhi, ila vina mlolongo mrefu sana mpaka vigeuke vikakupe pesa!

Na mlongolongo wake mrefu ndo umefanya Mataperi wakaingia kati hapo, wale waliokurupuka wamepoteza Nyumba na pesa, hata sasa naandika kuna watu wanapoteza pesa na Nyumba...!

Mnachokosea mnakurupuka bila kwanza kupata Knowledge ya hicho unachokihangaikia, mwisho utapoteza pesa na muda wako!
Nasubiria somo mkuu....!
 
Sina muda wakati huu naandika hii comment, nikipata muda ntarudi kutoa darasa fupi kwako na kwa wengine.

Ni vitu ambavyo vipo, mimi Binafsi nimevishuhudia kwa macho baadhi, ila vina mlolongo mrefu sana mpaka vigeuke vikakupe pesa!

Na mlongolongo wake mrefu ndo umefanya Mataperi wakaingia kati hapo, wale waliokurupuka wamepoteza Nyumba na pesa, hata sasa naandika kuna watu wanapoteza pesa na Nyumba...!

Mnachokosea mnakurupuka bila kwanza kupata Knowledge ya hicho unachokihangaikia, mwisho utapoteza pesa na muda wako!
Upo sahihi kabisa kiongozi! Vipo kabisa hivo vitu..na kuna sehemu navifukuzia bado tunafanya utaratibu wa kuvitoa
 
😀😅🤣😃😄
Usicheke kama vitu huvijui! Utapeli upo kila mahali na hasa kwenye hizi mali kale..! Hayo mambo yapo kiongozi ni upate watu sahihi.
Sio story za kusadikika.
 
Back
Top Bottom