Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amina na nitakukumbukaHutakaa jangwni milele,siku yako ya kuingia nchi ya ahadi ipo na imekaribia.
huko hawali mchana mkuuPaje-Zanzibar.
Asante kwa hilo piaAmina na nitakukumbuka
Siku nikija Moshi nitakuchekiNitakua nyumbani Moshi
Hugos Garden nikitoka hapo
Aamuz Bar & Grill
Namaliza Na Mimiz Tarven
[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]
Muwekezaji from Jamaica tena,,,😱Serikali itafute muwekezaji kutoka USA au JAMAICA COCO BEACH iwe kama MIAMI beach tofauti na sasa imekuwa ya watoto wa uswazi.
Tanga ,napakumbuka Chichi club, walileta Menu moja, aiseeh mi na wenzangu tulishtuka...dahNitakua Tanga, sabasaba sehemu panaitwa Ngoreme, kuna live band
Kesho Eid pili, fika Kigezi...Nasubiri mualiko.
Kwa kina Zuchu huko...Paje-Zanzibar.
Safi kaka banduguNitakua nyumbani Moshi
Hugos Garden nikitoka hapo
Aamuz Bar & Grill
Namaliza Na Mimiz Tarven
[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]
Bila shaka walifurahia ! Leo wamalizie sikukuu sasa
😂😂😂Bila shaka walifurahia ! Leo wamalizie sikukuu sasa