Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 744
- 1,621
Tar 4 nov 2022 waziri mkuu alizindua zoezi la ugawaji vishikwambi Kwa walimu na wadau wengine wa Elimu huko Dodoma,
Kwa hotuba ile na maelekezo Yale nilitegemea ndani ya wiki tu Vishikwambi vifikishwe sehemu husika!
Lakini mpaka Leo Kimya vipi kunani?
Ni siasa tu au wanasubiri uchaguzi ukaribie?
Loh
Kwa hotuba ile na maelekezo Yale nilitegemea ndani ya wiki tu Vishikwambi vifikishwe sehemu husika!
Lakini mpaka Leo Kimya vipi kunani?
Ni siasa tu au wanasubiri uchaguzi ukaribie?
Loh