Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaolewa
Labda wanavitochi kwa Sasa!Wakuu samahani naomba kuuliza na kujuzwa wapi walipo hawa member wa kitambpo wa JF?
Walipatwa na umauti?
Walibadirisha ID?
Wako wapi?
GUDume
Zero Iq
Joseverest
Na wengine wengine wakongwe wa JF
Labda kwa mzee wa kuzichakata papuchi Zero IQ may be atakuwa amehonga PC au smart yake akala papuchiLabda wanavitochi kwa Sasa!
Kabisa....Kuna wakati mzuka wa JF huwa unakata...
Wamezeeka macho ya awasumbua hivyo lazima wa loose interest na jf ,saizi watakuwa wanashinda vijiwe vya Kahawa Kwa mababu wenzao.Wakuu samahani naomba kuuliza na kujuzwa wapi walipo hawa member wa kitambpo wa JF?
Walipatwa na umauti?
Walibadirisha ID?
Wako wapi?
GUDume
Zero Iq
Joseverest
Na wengine wengine wakongwe wa JF
Tukishaharibu mambo humu jukwaan au PM tunabadili IDWakuu samahani naomba kuuliza na kujuzwa wapi walipo hawa member wa kitambpo wa JF?
Walipatwa na umauti?
Walibadirisha ID?
Wako wapi?
GUDume
Zero Iq
Joseverest
Na wengine wengine wakongwe wa JF
Ndio umejua leo?Mshana Jr anapotea taratibu kiutaniutani mwisho atatokomea kabisa.
Nina mashaka amepata kazi ya u-mod hapa jf.
Mshana JrWakuu samahani naomba kuuliza na kujuzwa wapi walipo hawa member wa kitambpo wa JF?
Walipatwa na umauti?
Walibadirisha ID?
Wako wapi?
GUDume
Zero Iq
Joseverest
Na wengine wengine wakongwe wa JF
Kabisa..!Ndio umejua leo?
Huyu dogo alinivuta sana mimi kujiunga JF,bila kumsahau Mshana Jr kutoka kutumia Free basic mpaka kuwa member.Bill Lugano (kidukulilo)