Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa nyuzi zake zilikuwa zinafurahisha sanaHuyu dogo alinivuta sana mimi kujiunga JF,bila kumsahau Mshana Jr kutoka kutumia Free basic mpaka kuwa member.
Yaani mimi wakati huo nilikuwa napitia wakati mgumu sana,lkn news za Kidukulilo nilikuwa nikizipata nasomaaaaa nachekaaa nina sahau kuwa nina matatizo yaani.Jamaa nyuzi zake zilikuwa zinafurahisha sana
Aisee umeongea Point sana kuna kipindi kulikuwa na madini sana huku aisee. Ilikuwa unaweza ingia unaomba ushauri wa ndoa, biashara hata kujiendeleza kitaaluma ana wanajamii walikuwa sio wachoyo kukupa mawazo. It was a good time Nao miss sana ile jamii forum.Toka jamii forums ivamiwe na wanafunzi wa sekondari na vyuo,malegend wengi wamepoteza hamu ya kuwemo humu sababu jamii forums imebadirika haina contents zenye akili kubwa kama zamani,ni utoto mwingi siku hz
Bil lugano au kidukuliloKuna mwamba moja alikuwa ana sifa kama mhaya yeye stori zake humu ndani zilikuwa ni kuhusu magari makali makali tupu sijui alipotelea wapi
Am here Leejay[emoji6]
Jana na Leo[emoji112]Wakuu samahani naomba kuuliza na kujuzwa wapi walipo hawa member wa kitambpo wa JF?
Walipatwa na umauti?
Walibadirisha ID?
Wako wapi?
GUDume
Zero Iq
Joseverest
Na wengine wengine wakongwe wa JF