- Thread starter
- #21
Kinyerezi kiongoziSema mazingira wanayokaa tukwambie
Wap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinyerezi kiongoziSema mazingira wanayokaa tukwambie
Wap
Sasa utaitumia kila sehemu? Pili, unajua process za kumiliki hiyo makitu unafikiri ni kirahisirahisi tu kuimiliki? Tatu, unajua impact zake hata ukishaweza kuitumia ikakusaidia? Na nne, unaweza kuimiliki na bado watu wakakutaimu na kukumaliza nayo vilevile. Kuna mashambulizi unapigwa surprise to the extent ni mbinu pekee za mapigano ndio zinaweza kukuokoa maana kimsingi huwezi kutembea na bastola kila sehemu, muda wote kuwa standby, si kweli.Hivi mguu wa kuku unaujua vizuri 🤔 wenyewe sio self defense Ni all defense Tena Bora mwenye shaba anaweza kunyooshea afu akaghairi kuliko Yule ambae sio mzoefu akishika lazima ajarbu fetua aone namna inafanya kazi
Naona unaongea vitu ambavo huvijui subiri wakulenge shaba ya tako afu umuulize nani kakupa kibali cha kumiliki risasi kila nchi ina sheria na risasi zipo nyingi kwa wananchi wengi tu na hawana vibaliSasa utaitumia kila sehemu? Pili, unajua process za kumiliki hiyo makitu unafikiri ni kirahisirahisi tu kuimiliki? Tatu, unajua impact zake hata ukishaweza kuitumia ikakusaidia? Na nne, unaweza kuimiliki na bado watu wakakutaimu na kukumaliza nayo vilevile. Kuna mashambulizi unapigwa surprise to the extent ni mbinu pekee za mapigano ndio zinaweza kukuokoa maana kimsingi huwezi kutembea na bastola kila sehemu, muda wote kuwa standby, si kweli.
Naona bado uko katika stage ya kukuza akili. Umegeuza mjadala. Unaongelea criminality ya kumiliki silaha kimagendo.Naona unaongea vitu ambavo huvijui subiri wakulenge shaba ya tako afu umuulize nani kakupa kibali cha kumiliki risasi kila nchi ina sheria na risasi zipo nyingi kwa wananchi wengi tu na hawana vibali
Nkuache tu naona akili yako haipo sawaNaona bado uko katika stage ya kukuza akili. Umegeuza mjadala. Unaongelea criminality ya kumiliki silaha kimagendo.
Naenda kuzeeka sina hata kimoja!!!Haimaanishi kuwa watoto wapo katika mazingira hatarishi vitu kama kong fu, boxing, swimming, playing piano, music na vinginevyo ni basic at least uwe na kimojawapo.
Hakuna anaezungumzia pesa hapa,Naenda kuzeeka sina hata kimoja!!!
Ulinzi pesa huna pesa hata uwe na mikanda mia mbele ya pesa unaonekana koro tu.
NB;sijasema watu wasijifunze hiyo michezo.
Well nailed! Watz bado tuko na mitizamo rigid.Hakuna anaezungumzia pesa hapa,
Tanzania tupo nyuma sana kiulewa,
Nchi za wenzetu vitu kama hivi vipo kwenye mtaala wa kufundushia. Lengo ni kumwongezea mtoto activities, uwezo wa kufikiri, strong body n.k
Hatupo kwenye kujadili umaskini we all know to Hussle for money.
In the other way boxing, swimming these are hobes but can also be do's and don't's
Fanya kuulizia Ukonga Gerezani au Segerea, au FFU pale Ukonga.Nipo Kinyerezi mkuu.
Kwamba Msikitini ndio michezo yao!!?Unataka watoto wako wajifunze Kung Fu basi wapeleke misikitini. Misikiti mingi wana program za kufundisha watoto karate Tena bure ila sidhani kama wanafundisha Kungu Fu. .
Wewe ulijifunzia wapi! Niliona pale almakazy kiwalani chamaSalaam wana JF.
Nina vijana wangu wawili Me na Ke umri ni miaka 12 na 8 respectively. Nataka niwape hawa madogo mafunzo ya self defense hivyo nauliza ni wapi wanafundisha *Kom Fu au Karate" kwa hapa Dar es Salaam?
Lengo ni kuwafanya angalau waweze kujihami kwa issue ndogo ndogo.
Misikiti mingi inafundisha ukakamavu na inawaandaa vijana kwa vita ya JihadKwamba Msikitini ndio michezo yao!!?
KutumaE ndo nn???Natumae mleta mada ulipata muongozo...
Salaam wana JF.
Nina vijana wangu wawili Me na Ke umri ni miaka 12 na 8 respectively. Nataka niwape hawa madogo mafunzo ya self defense hivyo nauliza ni wapi wanafundisha *Kom Fu au Karate" kwa hapa Dar es Salaam?
Lengo ni kuwafanya angalau waweze kujihami kwa issue ndogo ndogo.