Wapi wanatoa mikopo yenye riba nafuu kwa wajasiriamali wadogo?

Wapi wanatoa mikopo yenye riba nafuu kwa wajasiriamali wadogo?

Nenda TAMPRO munira, kajiunge utapata mkopo bila riba kabisa! Uwe tu mwanachama.

Fika pale magomeni Usalama, upande wa pili wa barabara. Ofisi zinatazamana na NMB na soko kuu la magomeni. Pembezoni mwa ofisi mpya za wilaya zilizojengwa kisasa.
 
Wewe ndio huyo mwanamke mnene, mbaya, mwenye sura nzito na mweusi kama kitumbua kilichoungua hapo kwenye picha yako?!

Unaonekana una karoho ka kwanini na ufitini sana!

Kwann hukufungua uzi wako ukapata fursa mpaka uje kudandia rizq za wenzako kwenye comments za nyuzi zao?!
Mkuu naomba Nije PM
 
Wewe ndio huyo mwanamke mnene, mbaya, mwenye sura nzito na mweusi kama kitumbua kilichoungua hapo kwenye picha yako?!

Unaonekana una karoho ka kwanini na ufitini sana!

Kwann hukufungua uzi wako ukapata fursa mpaka uje kudandia rizq za wenzako kwenye comments za nyuzi zao?!
Naaam ni Mimi Kila kitu ni halisi kabisa
Sijui wewe ni nani unaekosoa uumbaji wa mungu haliyakuwa huwezi kuumba hata sisimizi

Shame on you
 
Nenda TAMPRO munira, kajiunge utapata mkopo bila riba kabisa! Uwe tu mwanachama.

Fika pale magomeni Usalama, upande wa pili wa barabara. Ofisi zinatazamana na NMB na soko kuu la magomeni. Pembezoni mwa ofisi mpya za wilaya zilizojengwa kisasa.
Sawa
 
Back
Top Bottom