Wapi wanatoa mikopo yenye riba nafuu kwa wajasiriamali wadogo?

Wapi wanatoa mikopo yenye riba nafuu kwa wajasiriamali wadogo?

Tin ni bure ila leseni ya biashara ndio unalipa inategemea na biashara yako kisha TRA watakukadiria kodi
TRA ya wapi wanatoa tin ya biashara bure mana nlifatilia tin mwisho wa siku nkapata tin ya kawaida ili niibadilishe iwe ya biashara natakiwa kulipa Elf 89000 kwa mda wa miezi 6 ili ipate ile lebo ya silver ya biashara Ww umefatilia tin ya biashara wapi ukapata bure na hujalipia chochote na je TRA wakikutembelea unawaonyesha hyo hyo tin isiyokuw na lebo ya biashara wanaipokea ama
 
TRA ya wapi wanatoa tin ya biashara bure mana nlifatilia tin mwisho wa siku nkapata tin ya kawaida ili niibadilishe iwe ya biashara natakiwa kulipa Elf 89000 kwa mda wa miezi 6 ili ipate ile lebo ya silver ya biashara Ww umefatilia tin ya biashara wapi ukapata bure na hujalipia chochote na je TRA wakikutembelea unawaonyesha hyo hyo tin isiyokuw na lebo ya biashara wanaipokea ama
Wewe unazungumzia LESENI ya Biashara, TIN ni bure Ila Leseni unalipia
 
Ok unaweza kufanya yafuatayo ili kujiongezea sifa uko mbeleni
  • Sajili jina la biashara i.e munira business​
  • Fungua akaunti kwa jina la biashara​
  • Kila unapofanya mauzo uwe unapeleka benki, baada ya muda fulani utapata sifa ya kukopa bank​
Asante nimeelewa ndugu hili nitalifanyia kazi na Bank gani ina sifa ya kukopesha kwa sifa hizo?
 
Back
Top Bottom