Uchunjuba Punjubi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 799
- 622
Wakuu nataka kujua wapi wanaweza kumpa mtu mkopo kwa dhamana ya kuweka vyeti vyake iwe cha O-level, Advance, Chuo au vyote kwa pamoja. Kutokana na hili janga la ajira kutopatikana wasomi wengi tunajikuta tunatunza vyeti kwenye mabegi bila kuwa na faida yeyote na muda unaenda. Ikipatikana sehemu kama hiyo nahisi itanisaidia mimi na wengine pia.
Basi tusikitike wote mkuuNasikitika kusema kwamba hakuna taasisi inayofanya hivyo
Hakika inasadifu hivyo vyeti vyako bila kujali ulivipataje havina maana yoyote. Hivi mathalani ndo unaongoza taasisi ya mikopo sijui itajiendeshaje, yaani mtu aki default kulipa unauza vyeti ili kurejesha pesa ama?Wakuu nataka kujua wapi wanaweza kumpa mtu mkopo kwa dhamana ya kuweka vyeti vyake iwe cha O-level, Advance, Chuo au vyote kwa pamoja. Kutokana na hili janga la ajira kutopatikana wasomi wengi tunajikuta tunatunza vyeti kwenye mabegi bila kuwa na faida yeyote na muda unaenda. Ikipatikana sehemu kama hiyo nahisi itanisaidia mimi na wengine pia.
Mimi nipo mbeya nina cheti cha chuo kikuu. Vipi haijalishi masomo niliyosoma?Kwa vyeti unakopeshwa mwisho Tsh200,000 kama upo Dar nicheki.
Ukipapata uniambie na mm nkatoe chet Chang cha form 4 dvn 4 ya 33.nawaachia chote kabsa mm skitaki kama ni kuuza wauze tuuWakuu nataka kujua wapi wanaweza kumpa mtu mkopo kwa dhamana ya kuweka vyeti vyake iwe cha O-level, Advance, Chuo au vyote kwa pamoja. Kutokana na hili janga la ajira kutopatikana wasomi wengi tunajikuta tunatunza vyeti kwenye mabegi bila kuwa na faida yeyote na muda unaenda. Ikipatikana sehemu kama hiyo nahisi itanisaidia mimi na wengine pia.
Hakika inasadifu hivyo vyeti vyako bila kujali ulivipataje havina maana yoyote. Hivi mathalani ndo unaongoza taasisi ya mikopo sijui itajiendeshaje, yaani mtu aki default kulipa unauza vyeti ili kurejesha pesa ama?
Mtaji wa kwanza ni mawazo kama umeshindwa kufikiri basi mtaji mwingine tumia nguvu za mwili.
Hakuna mtaji wa mawazo bali mtaji ni pesa. Watu wana mawazo mazuri sana lkn hakuna pesa ya kufanikisha mawazo yao.Hakika inasadifu hivyo vyeti vyako bila kujali ulivipataje havina maana yoyote. Hivi mathalani ndo unaongoza taasisi ya mikopo sijui itajiendeshaje, yaani mtu aki default kulipa unauza vyeti ili kurejesha pesa ama?
Mtaji wa kwanza ni mawazo kama umeshindwa kufikiri basi mtaji mwingine tumia nguvu za mwili.
Useless kabisa mkuu, kuna graduate amewah kuniachia vyeti kwa mwaka. Tena nikagaeuka kuwa mlinzi wa vyeti vyake maana vikipotea ni tatzo kubwa.Kwenye suala la pesa/mkopo vyeti vya taaluma au shule kama dhamana ni useless...
Vyeti vyenye tija ni kama- hati ya nyumba, kadi ya gari, hati ya kiwanja au shamba ambavyo hata asiyeenda shule akiwa navyo anajipatia mkopo...
Cc: mahondaw
Ole wako akusikie uncle J!sasa cheti watakiuza wapi endapo utashindwa kulipa deni lako?
Km cheti kipo tu hakina matumizi si unauza tu.Unauza cheti? Ole wako akikusikia!
mkuu haupo sawa kabisa mtaji unaweza kuwa fedha au wazo Kwa hali ya kawaida utaona sio sawa ila kiujasiriamali hilo lipo sawa kabisaHakuna mtaji wa mawazo bali mtaji ni pesa. Watu wana mawazo mazuri sana lkn hakuna pesa ya kufanikisha mawazo yao.
N:B
Mawazo na mtaji ni vitu viwili tofauti.
1. Mawazo ni mtaji?
2. Mtaji ni mawazo?
Hayo maswali mawili huwezi kujibu utaishia kudanganya watu.