Uchunjuba Punjubi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 799
- 622
Wakuu,
Nataka kujua wapi wanaweza kumpa mtu mkopo kwa dhamana ya kuweka vyeti vyake iwe cha O-level, Advance, Chuo au vyote kwa pamoja.
Kutokana na hili janga la ajira kutopatikana wasomi wengi tunajikuta tunatunza vyeti kwenye mabegi bila kuwa na faida yeyote na muda unaenda. Ikipatikana sehemu kama hiyo nahisi itanisaidia mimi na wengine pia.
Nataka kujua wapi wanaweza kumpa mtu mkopo kwa dhamana ya kuweka vyeti vyake iwe cha O-level, Advance, Chuo au vyote kwa pamoja.
Kutokana na hili janga la ajira kutopatikana wasomi wengi tunajikuta tunatunza vyeti kwenye mabegi bila kuwa na faida yeyote na muda unaenda. Ikipatikana sehemu kama hiyo nahisi itanisaidia mimi na wengine pia.