McMahoon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,353
- 1,639
Sawa fanya ufanyavyo lkn pesa ndiyo kila kitu.mkuu haupo sawa kabisa mtaji unaweza kuwa fedha au wazo Kwa hali ya kawaida utaona sio sawa ila kiujasiriamali hilo lipo sawa kabisa
Ni biashara gani utaifanya bila kuwa na pesa na ukafanikiwa?