peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Banks pia ukiwa dhamana zako......hesabu zisomeeeeUjenzi wa vituo vipya vya mafuta nchini vinaota kama vichuguu?
Kila mahali vituo vinajengwa usiku na mchana!
Lile bomba kule baharini siku hizi niko wazi au linalindwa?
Sio hela nyingi kujenga kituo ukiwa na Mil 800-900 unajenga kituo kizuri Sana chenye pump Kuanzia nne Hadi sita na car wash garage ,super market Atm n.kUjenzi wa vituo vipya vya mafuta nchini vinaota kama vichuguu?
Kila mahali vituo vinajengwa usiku na mchana!
Lile bomba kule baharini siku hizi niko wazi au linalindwa?
Mkuu kuna shida gani? Uwepo wake unakuadhiri ni mkuu? Huoni mnyororo wa ajira wanayotengeneza? Huoni urahisi wanaoleta kupunguza watumiaji kusafiri umbali mrefu?Ujenzi wa vituo vipya vya mafuta nchini vinaota kama vichuguu?
Kila mahali vituo vinajengwa usiku na mchana!
Lile bomba kule baharini siku hizi niko wazi au linalindwa?
Zile ni kodi zetu full stope , hizo 10% ndo zinazoongoza kwa sasaUjenzi wa vituo vipya vya mafuta nchini vinaota kama vichuguu?
Kila mahali vituo vinajengwa usiku na mchana!
Lile bomba kule baharini siku hizi niko wazi au linalindwa?
Unajua maana ya franchise,kuna makampuni ya mafuta kama una location nzuri yanakujengea kwa mkopo,kwa kushirikiana na bank,wao wanakupatia training ila mafuta shurti ununue kwao,kama una eneo zuri sema nikuungeUjenzi wa vituo vipya vya mafuta nchini vinaota kama vichuguu?
Kila mahali vituo vinajengwa usiku na mchana!
Lile bomba kule baharini siku hizi niko wazi au linalindwa?
Huu no ujenzi pekee au pamoja na mtaji?Sio hela nyingi kujenga kituo ukiwa na Mil 800-900 unajenga kituo kizuri Sana chenye pump Kuanzia nne Hadi sita na car wash garage ,super market Atm n.k
Ujenzi tu Mkuu gharama hizo ni ukiwa unajenga mwenyewe ila ukiwapa kampuni ya ujenzi Basi hiyo itafika I bilion kwa kituo kizuri chenye hivyo vitu nilivyovitaja sema returning yake ni ya haraka Sana mafuta yana faida Sana mzunguko ni mkubwa SanaHuu no ujenzi pekee au pamoja na mtaji?
Lakini kuna speculation kwamba pengine huo ni mwanya ambao unatumiwa na baadhi ya watu "kutakatisha" fedha chafu.Je,hii teresi haiwezi kuwa kweli?Ujenzi tu Mkuu gharama hizo ni ukiwa unajenga mwenyewe ila ukiwapa kampuni ya ujenzi Basi hiyo itafika I bilion kwa kituo kizuri chenye hivyo vitu nilivyovitaja sema returning yake ni ya haraka Sana mafuta yana faida Sana mzunguko ni mkubwa Sana
Haya ndio maendeleo, baadhi kama vituo vya TotalEnergies vinajengwa kwa mikataba ya franchise za COCO, CODO na DODO Total yatoa fursa vituo vya COCO na CODO kuzigeuza DODO! Kuwa umiliki kituo cha mafuta cha totalUjenzi wa vituo vipya vya mafuta nchini vinaota kama vichuguu?
Kila mahali vituo vinajengwa usiku na mchana!
Mimi ninalo mkuu lina ukubwa wa ekari mbili barabara kuu ya kigoma-TaboraUnajua maana ya franchise,kuna makampuni ya mafuta kama una location nzuri yanakujengea kwa mkopo,kwa kushirikiana na bank,wao wanakupatia training ila mafuta shurti ununue kwao,kama una eneo zuri sema nikuunge