Pre GE2025 Wapiga Kura 1200 Wote Wana Njaa ya kufa Mtu huyo Tundu Lissu anashindaje?

Pre GE2025 Wapiga Kura 1200 Wote Wana Njaa ya kufa Mtu huyo Tundu Lissu anashindaje?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hata ungekuwa wewe ndio mpiga kura utakataa mshiko Ili chadema kama chama kikusaidie nini!

Lisu akubali uchaguzi ushaisha Mbowe ni mwenyekiti tena na Wenje makamu Mwenyekiti

CCM ni dude Fulani kubwa sana huwezi kulishinda [emoji23][emoji23]

Hongera sana kampeni meneja wa Mbowe Lucas Mwashambwa
CUF,NCCR MAGEUZI,UDP na TLP wamepata mwenzao.
 
Hata ungekuwa wewe ndio mpiga kura utakataa mshiko Ili chadema kama chama kikusaidie nini!

Lisu akubali uchaguzi ushaisha Mbowe ni mwenyekiti tena na Wenje makamu Mwenyekiti

CCM ni dude Fulani kubwa sana huwezi kulishinda 😂😂

Hongera sana kampeni meneja wa Mbowe Lucas Mwashambwa
Labda ashinde na njaa
 
Msianze kutengeneza drama ili muweke mpira kwapani.
Box ndilo kitaamua ni Lissu ama Mbowe.
Utamu wa demokrasia ndiyo huo.
 
Bila hata mshiko Mbowe kishashinda mi niwaulize swali rahisi hivi ni nani maarufu katika CHADEMA nani kaitumikia CHADEMA kwa nguvu zake zoteee ??
Mbowe kafilisiwa mali zake sababu ya CHADEMA mnakumbuka BILICANAS leo iko wapi ??? Mnakumbuka mashamba yake GREENHOUSE kule HAI WALIVYOYAVYEKA ??? sasa leo eti mnataka kusema kuwa Lissu ndo ana uchungu saana kuliko Mboweeee ???!!! Jamani acheni unafki !
 
Bila hata mshiko Mbowe kishashinda mi niwaulize swali rahisi hivi ni nani maarufu katika CHADEMA nani kaitumikia CHADEMA kwa nguvu zake zoteee ??
Mbowe kafilisiwa mali zake sababu ya CHADEMA mnakumbuka BILICANAS leo iko wapi ??? Mnakumbuka mashamba yake GREENHOUSE kule HAI WALIVYOYAVYEKA ??? sasa leo eti mnataka kusema kuwa Lissu ndo ana uchungu saana kuliko Mboweeee ???!!! Jamani acheni unafki !
Ni kweli ndo mana kwa sasa yupo kurudisha pesa na mali zake kupitia cdm,sasa akikaa pembeni wapi atapata asali kirahisi
 
Huyu Lissu alitakiwa ampigie magoti Mbowe ! Lile sakata lake lakuwahishwa Nairobi Hospitali jinsi Mbowe alivyocheza kama pele kuhakikisha Lissu anawahishwa hospitali kubwa nani angeweza ??Je yeye angeweza ? Halafu leo anakuja kumkosea adabu anapitapita huko na huko anaongea uongo unogo tuu ! Anashirikiana na akina Msigwa kuongea uongo na upuuzi ! Badala ya kum support mtu alieokoa uhai wake anakaa anaropoka ropoka tuu ! Ama kweli Mbuzi wa maskini hazai !
 
Leteni Uchaguzi hata leo ! Huyu Lissu kwisha kazi yake ! Arudi huko mitunduruni kwa wanyampaa wenzie !
 
Acha mwamba atuvushe, tatizo Lissu aliingia kishari sana na kuanza kumtupia lawama Mwenyekiti bila heshima.
Sisi CCM tumeanza Zara za Nyumba Kwa Nyumba kutoa Mikopo midogo midogo ya kifamilia 😀
 
Hata ungekuwa wewe ndio mpiga kura utakataa mshiko Ili chadema kama chama kikusaidie nini!

Lisu akubali uchaguzi ushaisha Mbowe ni mwenyekiti tena na Wenje makamu Mwenyekiti

CCM ni dude Fulani kubwa sana huwezi kulishinda 😂😂

Hongera sana kampeni meneja wa Mbowe Lucas Mwashambwa
Ngoja wapambane alimradi chawa wa pande zote mbili wajiandae kisaikolojia kwani yoyote anaweza kushinda, watakaoamua kukimbilia CCM baada ya kushindwa it's well and good. CHADEMA haiwezi kufa kwa sababu ya wanaohamaki kuwahama, they've proved that huko nyuma kwamba wanaweza kupita kwenye misukosuko japo Jiwe aliwalegeza na kuwarudisha nyuma kwa kiasi kikubwa.
 
Back
Top Bottom