Pre GE2025 Wapiga Kura 1200 Wote Wana Njaa ya kufa Mtu huyo Tundu Lissu anashindaje?

Pre GE2025 Wapiga Kura 1200 Wote Wana Njaa ya kufa Mtu huyo Tundu Lissu anashindaje?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hata ungekuwa wewe ndio mpiga kura utakataa mshiko Ili chadema kama chama kikusaidie nini!

Lisu akubali uchaguzi ushaisha Mbowe ni mwenyekiti tena na Wenje makamu Mwenyekiti

CCM ni dude Fulani kubwa sana huwezi kulishinda 😂😂

Hongera sana kampeni meneja wa Mbowe Lucas Mwashambwabowe anadhani anamkomoa lissu
Mbowe anadhani anamkomoa lissu kumbe ndo anaenda kujifia
 
Subiri uone !!

Tunataka kuona Sasa Mbowe akiendesha chama bila kuwa na akili kubwa kama atafika wapi?

Amebaki na watu wanaoamini katika siasa za rushwa na Hadaa.

Lisu atakaa pembeni na upande wake wenye watu wenye akili kubwa awaache Machawa . Tuone kama Mbowe na wajumbe wake wanaweza kuhamasisha hata maandamano ya mtaa mmoja kule Machame wakatoka.
Wewe ni lissu? nawambieni vita haikimbiwi , nasema tena ni mjinga tu wa kushauri eti lissu akimbie , kwani nyie kwa nini amini kwamba Mbowe hakutakiwa kugombea ,kwa katiba ipi ,acheni ujua mto hata kuvukwa bado mnakuja na optional za kipuuzi , lengo lenu ni lipi kwa lissu ? Acheni mambo ya kitoto
 
Bila hata mshiko Mbowe kishashinda mi niwaulize swali rahisi hivi ni nani maarufu katika CHADEMA nani kaitumikia CHADEMA kwa nguvu zake zoteee ??
Mbowe kafilisiwa mali zake sababu ya CHADEMA mnakumbuka BILICANAS leo iko wapi ??? Mnakumbuka mashamba yake GREENHOUSE kule HAI WALIVYOYAVYEKA ??? sasa leo eti mnataka kusema kuwa Lissu ndo ana uchungu saana kuliko Mboweeee ???!!! Jamani acheni unafki !
Unakumbuka lissu kawa kilema mpaka leo hii anatembea na risasi wee unafikiri risasi 16 kwenye mwil wako ni jambo dogo pumbafuuu ww
 
Wewe ni lissu? nawambieni vita haikimbiwi , nasema tena ni mjinga tu wa kushauri eti lissu akimbie , kwani nyie kwa nini amini kwamba Mbowe hakutakiwa kugombea ,kwa katiba ipi ,acheni ujua mto hata kuvukwa bado mnakuja na optional za kipuuzi , lengo lenu ni lipi kwa lissu ? Acheni mambo ya kitoto


Matamshi ya Mbowe ni ya Qxenge.
Kuwa eti ameona chama chake kinaenda kuzama ndio maana ameingia mzigoni . Sasa hapo wewe unaona ni sawa mtu aliyekaa madarakani miaka 21 na amekua aliwatoa wenzake kwa mtindo huo huo wa ama kuwatendea kama Chacha au kuwaambia ni wasaliti na kuwajengea uadui kwa wanachama.


Sasa Lisu ameitwa msaliti anayezamisha chama sasa anasubiri nini kwenye hicho chama wakati hata kampeni hazijaanza ametwa mtu msaliti mwisho utakua nini wakati kundi kubwa la mafisadi ndani ya Chadema na CCM wamemwaga pesa kila mahali kuandaa watu wa kumfanyia fujo na kumhujumu Lisu.
Bora aachane na ghiliba za Mbowe ili ajenge chama chake vizuri kwa kuwaacha wanaozalisha chama
 
Matamshi ya Mbowe ni ya Qxenge.
Kuwa eti ameona chama chake kinaenda kuzama ndio maana ameingia mzigoni . Sasa hapo wewe unaona ni sawa mtu aliyekaa madarakani miaka 21 na amekua aliwatoa wenzake kwa mtindo huo huo wa ama kuwatendea kama Chacha au kuwaambia ni wasaliti na kuwajengea uadui kwa wanachama.


Sasa Lisu ameitwa msaliti anayezamisha chama sasa anasubiri nini kwenye hicho chama wakati hata kampeni hazijaanza ametwa mtu msaliti mwisho utakua nini wakati kundi kubwa la mafisadi ndani ya Chadema na CCM wamemwaga pesa kila mahali kuandaa watu wa kumfanyia fujo na kumhujumu Lisu.
Bora aachane na ghiliba za Mbowe ili ajenge chama chake vizuri kwa kuwaacha wanaozalisha chama
Ni haki yake ,na hii ya kusema chama chake kinaenda kuzama ,kwani yeye ichi chama ni chake au cha wanachama?

Kwanza ni mazalau makubwa sana kwa wajumbe ambao wapo pale kuwakilisha wanachama waliowaliowapigia kura , na ni mda wa wajumbe kumuonesha kwamba chama sio chake bali cha wanachama. Na haya maneno Mbowe alianza kuyajenga mapema ili kutafuta gear ya kuingia kwenye uchaguzi.

Ametekeleza wajibu wake kama mwanachama kwa mjibu wa katiba ya chama .
Kazi kwa wajumbe ,hatutaki salakasi, uchaguzi uwe huru na haki ili kura ziongee .
Hakuna kukimbia vita apa ,lissu atashinda ,amin nawambieni
 
Ifike wakati lazima tujiulize maswali rahisi Sana. TAL Alikua naibu mwenyekiti wa Chama na mwanasheria kwa vipindi tafauti je alieleza kwa nafasi yake alifanyia nini Chama?? Ni mchango gani alitoa katika Chama? Yeye asijione Kua ni msafi zaidi kuliko wengine sio kweli. Lakini pia iko wazi Kila mtu anapigania maslahi yake binafsi ndo mana Hata Vijana wanaokua mstari wa mbele kufanya mambo ya kuvunja Sheria wakikamatwa kinachotokea nikuomba msaada tuu mtandaoni. Wote wanaangalia nini kitaingia tuu wakizurumiana ndo siri zinavuja. CHUMVI YA NGURU UKIIONJA HUWEZI KUTAKA KUIKOSA.
 
Hata ungekuwa wewe ndio mpiga kura utakataa mshiko Ili chadema kama chama kikusaidie nini!

Lisu akubali uchaguzi ushaisha Mbowe ni mwenyekiti tena na Wenje makamu Mwenyekiti

CCM ni dude Fulani kubwa sana huwezi kulishinda 😂😂

Hongera sana kampeni meneja wa Mbowe Lucas Mwashambwa
Wajinga wenye njaa mpo wengi. Hangaika na njaa Yako na kufa na njaa yako
 
Uongozi ni zaidi ya kuwa msemaji mzuri na msomi mbobezi , ni namna unavyokaa na watu wako na kujenga link ( muingiliano) . Mbowe amejijenga kwa wanachama wake asilimia kubwa kuanzia huko mikoani Mpaka miji mikubwa .Wapiga kura wengi wa chadema sio diaspora au watu wa x , instagram na jamiiforums .
Na zaidi ya nusu ni bawacha !
Na bawacha wanamuelewa mbowe zaidi !
Duniani kote majority ya wapiga kura ni wanawake .
Hata Trump ilibidi nguvu ya ziada itumike kumega share ya kundi la wanawake .
 
Back
Top Bottom