Nimeambiwa wewe kampeni meneja wa WembeHata ungekuwa wewe ndio mpiga kura utakataa mshiko Ili chadema kama chama kikusaidie nini!
Lisu akubali uchaguzi ushaisha Mbowe ni mwenyekiti tena na Wenje makamu Mwenyekiti
CCM ni dude Fulani kubwa sana huwezi kulishinda 😂😂
Hongera sana kampeni meneja wa Mbowe Lucas Mwashambwa
CCM ina Benki yake bwashee 😄Mnazitumia zile za Abdul alizozikataa mtia nia wetu.
Kwa sasa tuko busy kuwapitisha Wananchi kwenye miradi mbalimbali ya Maendeleo 😀🔥Nimeambiwa wewe kampeni meneja wa Wembe
Asali ni muhimu aendelee nayo jamani.Ni kweli ndo mana kwa sasa yupo kurudisha pesa na mali zake kupitia cdm,sasa akikaa pembeni wapi atapata asali kirahisi
Hata ungekuwa wewe ndio mpiga kura utakataa mshiko Ili chadema kama chama kikusaidie nini!
Lisu akubali uchaguzi ushaisha Mbowe ni mwenyekiti tena na Wenje makamu Mwenyekiti
CCM ni dude Fulani kubwa sana huwezi kulishinda 😂😂
Hongera sana kampeni meneja wa Mbowe Lucas Mwashambwa
Wewe uliwahi tegemea Lissu atamgeuka mkewe pamoja na kumuuguza kote kule katika shida na raha? Leo Lissu anamsema Wenje aliyechangia parefu matibabu yake kweli?Huyu Lissu alitakiwa ampigie magoti Mbowe ! Lile sakata lake lakuwahishwa Nairobi Hospitali jinsi Mbowe alivyocheza kama pele kuhakikisha Lissu anawahishwa hospitali kubwa nani angeweza ??Je yeye angeweza ? Halafu leo anakuja kumkosea adabu anapitapita huko na huko anaongea uongo unogo tuu ! Anashirikiana na akina Msigwa kuongea uongo na upuuzi ! Badala ya kum support mtu alieokoa uhai wake anakaa anaropoka ropoka tuu ! Ama kweli Mbuzi wa maskini hazai !
Pesa inatafunwa na kura hawapigi kwa aliewapa pesa ,kwani kuna mtu anashikiwa panga siku ya kupiga kura ?Hata ungekuwa wewe ndio mpiga kura utakataa mshiko Ili chadema kama chama kikusaidie nini!
Lisu akubali uchaguzi ushaisha Mbowe ni mwenyekiti tena na Wenje makamu Mwenyekiti
CCM ni dude Fulani kubwa sana huwezi kulishinda 😂😂
Hongera sana kampeni meneja wa Mbowe Lucas Mwashambwa
Nyie mbona mnakua na ushauri wa kipumbavu ,ajitoe kwa lipi ? Acheni unafiki ,pumbavuNi vizuri Lisu akajitoa.
Mbowe ameonyesha wazi kutokuwa na imani na Lisu .
Ajitoe lakini kama kuna Wapiga kura wake basi wapige kura za hapana kwa Mbowe.
Miaka 21 kwenye madaraka ni jambo la kijinga na kufedhehesha chama kinachopigania demokrasia .
Nchi hii itamsubiri Makonda tu kuja kuwanyoosha mafisadi akiwemo Mbowe .
Hakuna katiba mpya mpaka 2050 hili halina ubishi na hakuna mtu wa kuandamana kutetea maslahi ya mtu mmoja na kabila moja . Never.
Wachagga hawanaga muda wa kuandamana maana wana shughuli zao za kibiashara na uchumi . Sasa tuone kama Mbowe atamhamasisha nani kuandamana labda aandamane na walamba asali maana..
Lisu asikubali kuhalalisha uharamia wa Mbowe na genge lake.
Hatuwezi kata tamaa boss, ndo kwanza kumekucha.tunaenda na lissuHata ungekuwa wewe ndio mpiga kura utakataa mshiko Ili chadema kama chama kikusaidie nini!
Lisu akubali uchaguzi ushaisha Mbowe ni mwenyekiti tena na Wenje makamu Mwenyekiti
CCM ni dude Fulani kubwa sana huwezi kulishinda 😂😂
Hongera sana kampeni meneja wa Mbowe Lucas Mwashambwa
Lissu hawezi kushinda mwenye chama hawezi kuruhusu Hilo litokee,Ngoja wapambane alimradi chawa wa pande zote mbili wajiandae kisaikolojia kwani yoyote anaweza kushinda, watakaoamua kukimbilia CCM baada ya kushindwa it's well and good. CHADEMA haiwezi kufa kwa sababu ya wanaohamaki kuwahama, they've proved that huko nyuma kwamba wanaweza kupita kwenye misukosuko japo Jiwe aliwalegeza na kuwarudisha nyuma kwa kiasi kikubwa.
Mama Abduli mserikali wa kwanza kwenda kumtazama Nairobi bila kumuaga JiweHuyu Lissu alitakiwa ampigie magoti Mbowe ! Lile sakata lake lakuwahishwa Nairobi Hospitali jinsi Mbowe alivyocheza kama pele kuhakikisha Lissu anawahishwa hospitali kubwa nani angeweza ??Je yeye angeweza ? Halafu leo anakuja kumkosea adabu anapitapita huko na huko anaongea uongo unogo tuu ! Anashirikiana na akina Msigwa kuongea uongo na upuuzi ! Badala ya kum support mtu alieokoa uhai wake anakaa anaropoka ropoka tuu ! Ama kweli Mbuzi wa maskini hazai !
Huu wimbo nimeutafutaGA sana. Nitausikiliza vizuri nikitoka bar kusheherekea ushindi wa Simba!Nina huzini rohoni mimi siimbi nalia, Ninamlilia Malebo amekataa kuondoka🎵🎵
View: https://youtu.be/BTgb7asa0_I
Wewe ni mpumbavu icho chama ni cha umma kama sio cha wanachama ,simwombei mabaya Mbowe, lakini mfano akatokea akafa kwamba na chama kitakua kimekufa ? Acheni mawazo mfu na ya kijingaKutompa kura MBOWE ni kuhalalisha kifo Cha chama chetu pendwa, HATUPO TAYARI KUMPOTEZA MBOWE, huyo Lissu wenu arejee kwao Ubelgiji, atuachie Bongo yetu na Kamanda Mbowe anatosha
Subiri uone !!Nyie mbona mnakua na ushauri wa kipumbavu ,ajitoe kwa lipi ? Acheni unafiki ,pumbavu