LGE2024 Wapiga Kura Dodoma ni kama wamegoma kujiandikisha, Waandikishaji wameamua kuwafuata nyumbani na kazini ili wajiandikishe

LGE2024 Wapiga Kura Dodoma ni kama wamegoma kujiandikisha, Waandikishaji wameamua kuwafuata nyumbani na kazini ili wajiandikishe

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
Hali ya uandikishaji wenye Daftari la Kupiga Kura kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mtaa siyo rafiki, imefikia hatua baadhi ya Waandikishaji wameamua kuingia mtaani kuwatafuta Wananchi ili wajiandikishe.

Hapa Dodoma nimeshuhudia hali hiyo ikijitokeza kwenye Mitaa ya Chinangali West na Nkuhungu, sijajua kwa nini lakini kwa ufupi raia hawajitokezi na kinachotokea wanaamua kuwafuata Wapiga Kura kwenye maduka, bodaboda, nyumbani na sehemu nyingine nyingi.
 
Hali ya uandikishaji wenye Daftari la Kupiga Kura kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mtaa siyo rafiki, imefikia hatua baadhi ya Waandikishaji wameamua kuingia mtaani kuwatafuta Wananchi ili wajiandikishe.

Hapa Dodoma nimeshuhudia hali hiyo ikijitokeza kwenye Mitaa ya Chinangali West na Nkuhungu, sijajua kwa nini lakini kwa ufupi raia hawajitokezi na kinachotokea wanaamua kuwafuata Wapiga Kura kwenye maduka, bodaboda, nyumbani na sehemu nyingine nyingi.
Mbona tunalimishana kujiandikisha. Kama mmeshindwa kuwashawishi wananchi kwa uchaguzi wa haki, uhuru, amani na huduma bora. Usitegemee ukimfuatq nyumbani au kazini ndiyo atajiandikisha. Serikali ijitafakari.
 
Siku yabkupiga kura watawafuata nyumbani wakapigie kura vyumbani kwao?
 
Nilkuwa naomba kuuliza!
Hivi kwa sheria za Uchaguzi inaruhusiwa Mwandikishaji kuacha kituo na kwenda kusaka watu wajiandikishe?
Kwa vile CCM haina aibu kule mitaani wataandikisha hata majina ya marehemu!
 
Mkuu walikulazimisha kutoa taarifa zako au..?
Nilikua natoka kazini sasa nikapita njia ya karibu ya serikali ya mtaa weee nikaitwaa kwa sauti njoooo. Kuangalia kwambalia namuona mwenyekiti wacha wanichangamkie kuandika jina.😠😠
 
2019 wakitumia FFU, wakurugenzi na watendaji Jafo aliutangazia ulimwengu kuwa CCM imeputa bila kupingwa.

Watu hawajiandikishi na waliojiandikisha hawapigi kura ili kuwarahisishia CCM michakato ya ushindi.
 
Hali ya uandikishaji wenye Daftari la Kupiga Kura kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mtaa siyo rafiki, imefikia hatua baadhi ya Waandikishaji wameamua kuingia mtaani kuwatafuta Wananchi ili wajiandikishe.

Hapa Dodoma nimeshuhudia hali hiyo ikijitokeza kwenye Mitaa ya Chinangali West na Nkuhungu, sijajua kwa nini lakini kwa ufupi raia hawajitokezi na kinachotokea wanaamua kuwafuata Wapiga Kura kwenye maduka, bodaboda, nyumbani na sehemu nyingine nyingi.
Kauli ya Nape nadhani inachangia na kutia uvivu sana "matokeo ya uchaguz yanategemea nani anasimamia"
 
Hali ya uandikishaji wenye Daftari la Kupiga Kura kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mtaa siyo rafiki, imefikia hatua baadhi ya Waandikishaji wameamua kuingia mtaani kuwatafuta Wananchi ili wajiandikishe.

Hapa Dodoma nimeshuhudia hali hiyo ikijitokeza kwenye Mitaa ya Chinangali West na Nkuhungu, sijajua kwa nini lakini kwa ufupi raia hawajitokezi na kinachotokea wanaamua kuwafuata Wapiga Kura kwenye maduka, bodaboda, nyumbani na sehemu nyingine nyingi.
Kwa ka clip haka hakasibitishi unachokisema.

Weka clip mkuu.
 
Back
Top Bottom