BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 525
- 1,257
Hapa Dodoma nimeshuhudia hali hiyo ikijitokeza kwenye Mitaa ya Chinangali West na Nkuhungu, sijajua kwa nini lakini kwa ufupi raia hawajitokezi na kinachotokea wanaamua kuwafuata Wapiga Kura kwenye maduka, bodaboda, nyumbani na sehemu nyingine nyingi.