Nadhani umeeleweka ili wasimtafute mchawi.Hiii ndio legacy ya Magufuli kwa watanzania. Bahati mbaya, huyu Mama nae anaendeleza pale.alipoachia Magufuli na haya ndio matokeo yake.
Yatakuwa ni maelekezo kutoka juu kuinusuru CCM na serikali yake kwani matendo yao ndio chanzo cha yote haya.Wameamua kupita nyumba kwa nyumba..unashangaa geti linagongwa ukitoka ety muandikisha kura.
Mbona tunalimishana kujiandikisha. Kama mmeshindwa kuwashawishi wananchi kwa uchaguzi wa haki, uhuru, amani na huduma bora. Usitegemee ukimfuatq nyumbani au kazini ndiyo atajiandikisha. Serikali ijitafakari.Hali ya uandikishaji wenye Daftari la Kupiga Kura kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mtaa siyo rafiki, imefikia hatua baadhi ya Waandikishaji wameamua kuingia mtaani kuwatafuta Wananchi ili wajiandikishe.
Hapa Dodoma nimeshuhudia hali hiyo ikijitokeza kwenye Mitaa ya Chinangali West na Nkuhungu, sijajua kwa nini lakini kwa ufupi raia hawajitokezi na kinachotokea wanaamua kuwafuata Wapiga Kura kwenye maduka, bodaboda, nyumbani na sehemu nyingine nyingi.
Mkuu walikulazimisha kutoa taarifa zako au..?Yani watu wamegoma kabisa mm mwenyewe wameniandikisha kinguvu
Nilikua natoka kazini sasa nikapita njia ya karibu ya serikali ya mtaa weee nikaitwaa kwa sauti njoooo. Kuangalia kwambalia namuona mwenyekiti wacha wanichangamkie kuandika jina.😠😠Mkuu walikulazimisha kutoa taarifa zako au..?
Kauli ya Nape nadhani inachangia na kutia uvivu sana "matokeo ya uchaguz yanategemea nani anasimamia"Hali ya uandikishaji wenye Daftari la Kupiga Kura kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mtaa siyo rafiki, imefikia hatua baadhi ya Waandikishaji wameamua kuingia mtaani kuwatafuta Wananchi ili wajiandikishe.
Hapa Dodoma nimeshuhudia hali hiyo ikijitokeza kwenye Mitaa ya Chinangali West na Nkuhungu, sijajua kwa nini lakini kwa ufupi raia hawajitokezi na kinachotokea wanaamua kuwafuata Wapiga Kura kwenye maduka, bodaboda, nyumbani na sehemu nyingine nyingi.
Kwa ka clip haka hakasibitishi unachokisema.Hali ya uandikishaji wenye Daftari la Kupiga Kura kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mtaa siyo rafiki, imefikia hatua baadhi ya Waandikishaji wameamua kuingia mtaani kuwatafuta Wananchi ili wajiandikishe.
Hapa Dodoma nimeshuhudia hali hiyo ikijitokeza kwenye Mitaa ya Chinangali West na Nkuhungu, sijajua kwa nini lakini kwa ufupi raia hawajitokezi na kinachotokea wanaamua kuwafuata Wapiga Kura kwenye maduka, bodaboda, nyumbani na sehemu nyingine nyingi.