Pre GE2025 Wapiga kura, hakikisheni mnapiga kura kwa serikali iliyopo, viongozi mbadala hawana rasilimali za kutekeleza wanayoyaahidi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
https://www.facebook.com/
View: https://web.facebook.com/reel/1107872713567503
 
Mkiwa mmeruhusiwa kutoka mirembe, msikimbilie kutoa hoja vihoja kwenye mitandao ya kijamii.

Hoja yako haina kichwa wala miguu. Hao waliopo ni kutoka sayari nyingine? Kama aliyesasa ameweza kuongoza. Hata tukimpa Godbless Lema, atafanya vizuri zaidi ya sasa. Hakuna mtu/watu wenye mkataba na hii nchi kuongoza milele. Time will tell...
 
Athari za elimu ya MEMKWA hizi.
 
Acha uongo sirikali mpya zinazoingia uongozini zinapata wapi pesa za kuendeshea mataifa yao,hsta endapo zimekwapuliwa na watawala waliopita au watakaopita huwa wanazitapika na zinaendesha nchi vizurii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…