Wapiga picha wa Azam Media wana elimu Gani? Au wanafanya kusudi

uwe hodari

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2022
Posts
4,045
Reaction score
8,608
Wiki iliyopita nilisoma uzi wa mdau kuhusu Azam media kuepuka kutaja neno Christmas kwenye maudhui yao ya kutakia watanzania heri ya sikukuu za mwisho wa mwaka.

Ni kweli sio bahati mbaya ni mipango yao kwa kuwa ni kampuni binafsi hata wakilalamika watachoka wataacha

Sasa nikajipa jukumu la kuchunguza angle fulani ya wapiga picha wa Azam media hasa wanaorusha mpira wa ligi kuu

Ndipo nikafikia swali kujiuliza hawa watu wanataaluma kweli au ndio wanafuata matakwa ya boss

Kitu cha kwanza nilichogundua ukiwa umevaa mavazi fulani yenye utamaduni wa imani fulani ndani ya dakika tisini wanaweza kumzoom huyo mtu hata mara kumi iwe mwanamke au mwanaume

Je hawa watangazaji huwa wanapewa maelekezo au ndio mahaba yao binafsi? Kwamba uwanjani kipaumbele ni watu fulani ndio wenye hadhi ya kuwa spotted na camera?

Kama huamini jaribu kuvaa kama waarabu nenda uwanjani utaona kila muda upo live kwa TV

Kitu kingine pale uwanja wa Dodoma kuna nyumba ya ibada alijenga Gadafi ile nyumba kama kuna mechi pale huwa inafanyiwa coverage kuliko hata matukio ya uwanjani hivi azam haina mtu wa maudhui au ni mikakati yao

Upande wa pili kule Singida kuna nyumba ya ibada ipo karibu na uwanja ile nyumba kwa juu ina msalaba kitu cha kushangaza warusha picha huonyesha mashabiki waliokaa kwenye milima wakionyesha mpira ila huwa wanakuwa makini sana ule msalaba usionekane

Kitu kingine wanaopangwa kama watangazaji wa mchezo wanaopewa kipaumbele ni wale wanaosalimia kwa kwa salamu ya dini

TFF mtalaumiwa kama hii ligi itaharibiwa na hawa watu

Mnaona ligi ya Egypt ambayo ni kama nchi ya kiislam hawana ubaguzi wa kidini hata kidogo
Mnaona ligi ya Africa Kusini ambayo ni kama nchi ya kikrsto hawana ubaguzi wa kidini na ligi yao ni bora

Azam media ni kama wana ajenda yao waambiwe tu hawatafanikiwa na wanaweza kupotea kabisa
 
Ndio maana sijanunua Azam kingamuzi wapuuzi tu
 
Mtu tajiri anaitwa tajiri eti hapendi wateja waker
Na utajiri kaupata tanzania na amepata wateja kwasababu amepewa tender ya kuonyesha ligi
Hao jamaa ni wapumbavu kweli
Wajinga sana wadini
Huu mchezo upo sanaa hata ajira zao zipo kidini sana

Ni suala la muda huu mchezo utaisha
 
Unaoneka wewe mtu ni mdini sana maana hata kasoro zako unazotafuta zipo katika mambo ya dini dini
 
Mpira hautakiwi kubeba maudhui ya udini ila ajabu waliopewa hatimiliki ya kurusha mpira ndio wanaonyesha dalili za kukumbatia udini
Wewe ndiye mwenye macho ya dini,maana mpaka Salam ya mpenja imekukera,pande zote za dini Zina wapuuzi Kama wewe..na mnaongezeka,ipo siku mtakua wengi na mtararuana makoromeo
 
Hao jamaa ni wapumbavu kweli
Wajinga sana wadini
Huu mchezo upo sanaa hata ajira zao zipo kidini sana

Ni suala la muda huu mchezo utaisha
Anzisha na wewe ya kwako ili usipate presha na vidonda vya tumbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…