Wapiga picha wa Azam Media wana elimu Gani? Au wanafanya kusudi

Huo ni mjadala wa kitoto unauleta ukweli upo wazi

Ninachokisema kinajulikana kwa kila anayefuatilia mpira

Mbegu ya udini kupandwa na media ni jaribio zito kwa usalama wa nchi
Sisi wengine huwa tunaona shabiki kabeba kapu la magoli,wanapeta Mchele,ishara ya kuchinja,kucheza(Azam&Simba),watoto,Sasa wewe tuoneshe picha Azam wakionesha msikiti wakati mpira unachezwa
 
Ukweli haufichiki mkuu ni swalw la muda

Kwamba uwanjani watu wenye mrengo flan wa dini ndio wanatambulika zaidi wakirudiwa kuwa spotted mara kwa mara

Mpira ni public interest in the mean time atakayegundua ni mwarabu ajenda zake zitafika kikomo
Sisi wengine huwa tunaona shabiki kabeba kapu la magoli,wanapeta Mchele,ishara ya kuchinja,kucheza(Azam&Simba),watoto,Sasa wewe tuoneshe picha Azam wakionesha msikiti wakati mpira unachezwa
 
Ukweli haufichiki mkuu ni swalw la muda

Kwamba uwanjani watu wenye mrengo flan wa dini ndio wanatambulika zaidi wakirudiwa kuwa spotted mara kwa mara

Mpira ni public interest in the mean time atakayegundua ni mwarabu ajenda zake zitafika kikomo
Unaugua udini,hapo Salam ya baraka mpenja 'assalaam alaykum daresalaam' huwa inakuuma Sana,itakua huwa unamtukana maana si muislam
 
Hisia za kidini zinakumiza nafsi pole sana. achana na Azam tafuta king'amuzi kingine ile ni kampuni binafsi na kwa haya malalamiko yako Azam awajavunja sheria ya nchi kwa kupiga picha usizozipenda.

uamuzi ni wako.Azam kwa bidhaa bora.
Christian Ronaldo.
Mwalimu Nyerere.
Mze Mkapa rip,Mzee Mwinyi,Mzee Kikwete.
Mwamba wa Chato.
👇

👇
 

Attachments

  • images (2).jpeg
    21.8 KB · Views: 3
  • images (3).jpeg
    4.5 KB · Views: 3
  • images (4).jpeg
    28 KB · Views: 3
  • images (5).jpeg
    26.6 KB · Views: 3
Mimi siwafahamu watangazaji wengi kazi yangu ni utafiti na kuuza maudhui kwa umma na kusema ukweli

Nchi hii haiwezi kuharibiwa na ntu mmojw aliyepewa tenda za kurusha matangazo ya mpira ageuze kuwa kichaka cha udini
Unaugua udini,hapo Salam ya baraka mpenja 'assalaam alaykum daresalaam' huwa inakuuma Sana,itakua huwa unamtukana maana si muislam
 
Sina tatizo na hiyo kampuni ila wameshinda tenda ya kuonyesha mpira wa Tanzania mpira ni public interest mpira hauna dini

Hilo lazima aelewe hata km hapendi watu wa dini nyingine lasivyo they won't survive
Hisia za kidini zinakumiza nafsi pole sana. achana na Azam tafuta king'amuzi kingine ile ni kampuni binafsi na kwa haya malalamiko yako Azam awajavunja sheria ya nchi kwa kupiga picha usizozipenda.

uamuzi ni wako.Azam kwa bidhaa bora.
 
Sina tatizo na hiyo kampuni ila wameshinda tenda ya kuonyesha mpira wa Tanzania mpira ni public interest mpira hauna dini

Hilo lazima aelewe hata km hapendi watu wa dini nyingine lasivyo they won't survive
mkuu unachuki za kidini ilo ndo kubwa ulilonalo mengine ni visingizio tu.maisha yanaweza kwenda pia hata usipoangalia mpira kwenye tv ya Azam inayokuumiza moyo wako.
 
Usiwapangie Azam picha za kuonyesha au maudhui ya kuonyesha. Na wewe anzisha kituo chako cha TV uwe unaonesha hiyo "misalaba" unayotaka.
 
Watu mnapata wapi muda aisee wa kuchunguza petty issues?
Watu mna muda wa kutosha aisee.
 
King'amuzi Cha Azam hivi ni shili give ngapi?!?
170k pamoja na dishi kwa huku nilipo.
wai ving'amuzi vya Azam vinanunuliwa kwa kasi sana na watu wa kada zote kwasababu Azam wanaaminika East,South & central Africa kwa kuwa na bidhaa bora kabisa.

Azam kwa bidhaa bora.🙏
 
Hilo suala la ubaguzi wanalo saaana, anayebisha ana interest binafsi katika ubaguzi huo.

Siwaombei mabaya maana Injili imetufundisha upendo ila ukweli ni kuwa huwa napata wakati mgumu kusikitika nikisikia wafanyakazi wao wamepata ajali.

Ubaguzi ni jambo baya sana. Mpaka uwe mhanga ndiyo utajua maumivu yake.
 
Mpira ni public interest hatuwezi kuruhusu jamii yetu ya Tanzania iharibiwe na waarabu

Km wanaona wanajukumu la kutangaza dini wanachanganyia na mpira
mkuu unachuki za kidini ilo ndo kubwa ulilonalo mengine ni visingizio tu.maisha yanaweza kwenda pia hata usipoangalia mpira kwenye tv ya Azam inayokuumiza moyo wako.
 
Sisi ndio wenye jukumu la kulinda maadili ya utanzania pmj na kizazi chenu

Kwahiyo huu uzi unaweza usikuhusu leo kesho faida itakuwa kwa watoto wako
Watu mnapata wapi muda aisee wa kuchunguza petty issues?
Watu mna muda wa kutosha aisee.
 
Bahati nzuri Tanzania sio uarabuni ni suala la muda tu away like kina manji
 
170k pamoja na dishi kwa huku nilipo.
wai ving'amuzi vya Azam vinanunuliwa kwa kasi sana na watu wa kada zote kawasababu Azam wanaaminika East,South & central Africa kwa kuwa na bidhaa bora kabisa.

Azam kwa bidhaa bora.🙏
Inawezekana...ila hizi hoja za elements za udini Hawa Azam wasipuuze kwani zimeanza siku nyingi...au inawezekana wanapakaziwa tu?!?! Labda baadhi wanaionea wivu Azam?!?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…