Wapiga punyeto wanajinadi, wanajilaumu, wamechoka kujichua. Ukweli kuhusu punyeto ni upi?

Wapiga punyeto wanajinadi, wanajilaumu, wamechoka kujichua. Ukweli kuhusu punyeto ni upi?

Mfuma Uzi! Kaa ukijua Kila kitu kikizidi kina madhara,Kuna watu wanasema sijui punyeto,pombe,bangi na starehe kama hivyo ni vibaya mno!!
Wanapiga marufuku public ila privacy ni wadau


Ukikaa na kuanzia kusema punyeto Ina madhara ama faida ni wewe tu ataye kuelewa atakuelewa

Hata hiyo punyeto asilimia 90 ya watu Wana Fanya na unakuta Wana familia,madaktari,viongozi wa kisiasa na dini nk..


Kuna mtu nilikua namheshimu sana ni mtu mzima mwenye sofa kubwa,nilienda washroom hakuwa kafunga mlango nikakuta anawasha mzigo!

Alishtuka ila nilimuambia Mzee usiwaze nikamfungia mlango
 
Mfuma Uzi! Kaa ukijua Kila kitu kikizidi kina madhara,Kuna watu wanasema sijui punyeto,pombe,bangi na starehe kama hivyo ni vibaya mno!!
Wanapiga marufuku public ila privacy ni wadau


Ukikaa na kuanzia kusema punyeto Ina madhara ama faida ni wewe tu ataye kuelewa atakuelewa

Hata hiyo punyeto asilimia 90 ya watu Wana Fanya na unakuta Wana familia,madaktari,viongozi wa kisiasa na dini nk..


Kuna mtu nilikua namheshimu sana ni mtu mzima mwenye sofa kubwa,nilienda washroom hakuwa kafunga mlango nikakuta anawasha mzigo!

Alishtuka ila nilimuambia Mzee usiwaze nikamfungia mlango
Mimi hata mwanaume anavyonambia hajawai kupata gono huwa namshangaaa sana
 
Mfuma Uzi! Kaa ukijua Kila kitu kikizidi kina madhara,Kuna watu wanasema sijui punyeto,pombe,bangi na starehe kama hivyo ni vibaya mno!!
Wanapiga marufuku public ila privacy ni wadau


Ukikaa na kuanzia kusema punyeto Ina madhara ama faida ni wewe tu ataye kuelewa atakuelewa

Hata hiyo punyeto asilimia 90 ya watu Wana Fanya na unakuta Wana familia,madaktari,viongozi wa kisiasa na dini nk..


Kuna mtu nilikua namheshimu sana ni mtu mzima mwenye sofa kubwa,nilienda washroom hakuwa kafunga mlango nikakuta anawasha mzigo!

Alishtuka ila nilimuambia Mzee usiwaze nikamfungia mlango
🤓🤓🤓🤓🤓
Umeona eeeeh yaani umeongea ukweli kabisa
 
Kama katika sex suala ni kuleta ile friction ambayo finally inasababisha ejaculation, inawezaje kuwa na madhara kwenye punyeto kama utatumia the same mechanism?

nadhani hapa wengi huwa tunaizungumzia punyeto in general term lakini sio namna mbalimbali za kufanya ambazo zinaweza kukuepusha na madhara(kama yapo).

hivyo wakati tukizungumzia punyeto huku kukiwa na pande zenye maoni tofauti kuihusu kwamba ina madhara au haina/ wamepata au hawajapata madhara, mara zote huwa haizungumzwi wanafanyaje mpaka kufika hali hizo ila basically wanafanya punyeto ambayo inaweza kuwa na namna nyingi ya kufanya na katika hizo ziwe zenye madhara na ambazo hazina.
 
Back
Top Bottom