kapyoko
JF-Expert Member
- May 10, 2022
- 1,365
- 2,134
Atakuo sio solution ya kuachaIla ukweli kuacha iyo kitu ni mziki labda uoe mbali na hapo sijui, au uwe bize sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuo sio solution ya kuachaIla ukweli kuacha iyo kitu ni mziki labda uoe mbali na hapo sijui, au uwe bize sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wengine huku wife anajua lazima tuchukue sheria mkoni ya kimoja ndio show yamaana iendelee
Na kwanini ujifananishe na wanyama mkuuFaida
Nyeto - Inapunguza upotevu wa hela
Nyeto - inapunguza mimba zisizohitajika
Nyeto - Inapunguza matamanio ya mara kwa mara
Hasara
Nyeto - inalegeza mishipa
Nyeto - inaumiza kisaikolojia
Nyeto - inapunguza kujiamini wakati wa kutongoza
Nyeto - inafanya uume kusinyaa sinyaa wakati wa tendo la ndoa
Nyeto - ina uraibu ka sigara/pombe/uzinzi etc
Nyeto - ni ugonjwa wa kisaikolojia (sijawahio ona mnyama ng'ombe/mbuzi/sungura etc akifanya nyetoo)
Eti makinda nimecheka Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]CHAPUTA bado kinasajili makinda.
masturbation will take you nowhere brother, kuwa mkweli siyo kwamba imekuepushia usumbufu, wewe ni domo zege, na bado ni domo zege, then uko isolative thus y unapata na masturbation airtime.Six years uboyzn, 4 yrz chuo, in marriage na watoto kadhaa ila hii kitu haijawai kuniangusha zaidi ya kunipunguzia gharama unnecessary na usumbufu.
punheto haijawah kuwa faida no matter what circumstances.Punyeto watu wanapiga ila Sasa,wanaozidisha halafu unakuta Hana girl friend Hali akashiba yeye ni nyeto tu hapo lazima apate athari hasa kisaikolojia
Ni sawa na mtu anayekunywa mapombe Kila siku atachoka tu
mkuu psychological consequences ndo mbaya zaidi kuliko chochote, wapiga punyeto akili zao zinafanana na watu wa dizaini hii ukiwaangalia utasema ni wapole ila kiundani fikra zao zimejaa uoga yaan ni waoga hata kuchangia mijadala.Kama katika sex suala ni kuleta ile friction ambayo finally inasababisha ejaculation, inawezaje kuwa na madhara kwenye punyeto kama utatumia the same mechanism?
nadhani hapa wengi huwa tunaizungumzia punyeto in general term lakini sio namna mbalimbali za kufanya ambazo zinaweza kukuepusha na madhara(kama yapo).
hivyo wakati tukizungumzia punyeto huku kukiwa na pande zenye maoni tofauti kuihusu kwamba ina madhara au haina/ wamepata au hawajapata madhara, mara zote huwa haizungumzwi wanafanyaje mpaka kufika hali hizo ila basically wanafanya punyeto ambayo inaweza kuwa na namna nyingi ya kufanya na katika hizo ziwe zenye madhara na ambazo hazina.
Asante kwa ushuhuda mkuuAisee moja ya vitu ambavyo sitaki hata kuvisikia pamoja na punyeto kiufup najilamu sana imesababisha matatizo makubwa katika maisha yangu ambayo naangaikanayo mpaka sasa mi nimefanikia kuacha sitaki hata kuisikia punyeto. Vijana oeni acheni punyeto
Labda uletwe ugonjwa wa nyeto ila la sivyo siachi boss hujui tu inavyo saidia mkuukama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Ni utafiti ambao, umefanywa na unaendelea kufanywa na watu, ambao ni wahanga wa hiki kitendo(hili janga) ambao either ni wapenzi wa huu mchezo, ambao wamechoshwa na hiki kitendo au wale ambao wanatamani kuacha lakini wameshindwa kabisa kuacha.
Makala hii itaeleza visa mbalimbali, ambavyo ni matukio ya kweli ya wahusika waliokumbwa na changamoto hii au tuiite starehe hii kwa wale wanoiabudu.
Mrejesho wa utafiti unaanza na mimi mwenyewe ambae nimeshawahi kuandika makala mabalimbali zinahusu kujichua (punyeto), nilieleza changamoto nilizokutana nazo kipindi napambana kuachana na hiki kitendo, na changamoto hizo zilinipa nafasi ya kujua mambo kadhaa kuhusiana na punyeto.
1. Ugumu kwenye kujiepusha na matamanio ya kimwili
Kwa wapiga punyeto na wote ambao wamefikia ule umri wa kubalehe wanaelewa hii kitu, kuna muda unashindwa kujizuia kabisa tena kama upo stagnant hivi hufanyi kazi yoyote, yaani vile akili na mwili vinakuwa free, unakula na kushiba (hapa wengi wao ni wanafunzi) na wale ambao hawafanyi kazi ngumu, hawana wapenzi au wanao ila ni madomo zege, hapa hawawezi kutoboa.
Simply ni kwasababu satisfaction ya masturbation hahiitaji mambo mengi, its just your time, your will na sexual desire inafinalize. Hii changamoto unahitaji maombi kama kweli unataka kutoka, na sio maombi tu yaani wewe mwenyewe uwe willing kuacha.
2. Maandiko kuhusu punyeto
Ukifutilia wahanga wengi wa kujichua, wanajificha kwenye kivuli cha maandiko, sisemi kwamba hawapo sahihi, ila kama utashindana hoja za kiimani na mpenda punyeto atakueleza na kuchambua maandiko na utabaki huna hoja.
Ila ukimuuliza Mungu anaweza kubariki upigaji punyeto? Hawezi kukupa majibu. Ukirejea mada zangu ambazo nimewahi kuandika kuhusu punyeto, ukiangalia kwenye comment section utaona namna wapenda punyeto wanavyojitetea.
3. Scientific facts
Hapa kuna mkanganyiko kidogo. Kuna baadhi ya wataalam wa afya wanapinga ama kukilaani kitendo hiki kwasababu wanasema tafiti za kisayansi zimeonyesha upigaji punyeto unachangia kwa asilimia kubwa kwenye kupunguza nguvu za kiume kama kulegeza misuli ya uume, kuaffect sperm motility nk.
But at the same time, tafiti za kisayansi zinashauri upigaji punyeto kama njia sahihi ya kujiepusha na ugonjwa wa saratani ya tezi dume na ukwepaji wa magonjwa ya zinaa (unaona hapo kuna mkanganyiko).
4. Jamii
Hapa kuna mgawanyiko wa watu, kwasababu jamii ni watu, wapo ambao wanaona kitendo cha kujichua kinaathiri vijana kimaadili na kupelekea kusababisha mmomonyoko wa maadili kwasababu vijana, watu wazima au wazee wanajikita zaidi kwenye kutazama picha au video za ngono kitendo kinachopelekea uvunjifu wa maadili. Wakati huohuo kuna baadhi watu wanaona upingaji punyeto ni njia sahihi ya kujiepusha na magonjwa hatari kama UKIMWI na magonjwa mengine ya zinaa.
Conclusion
kipi ni kipi? Miongoni mwetu wapo wapiga punyeto na ambao hawapigi punyeto kama Mapadri, wanandoa, wanafunzi, Wachungaji, Masheikh na binadamu wote wenye elimu kuhusiana na hii makala. Tupeane elimu ili hii makala pia iwe sehemu ya utafiti, ili tujiokoe na hili janga, ama tuendelee kufanya, kwa njia gani, ama wanaoacha waache kwa njia gani, au tusiwalaumu wapiga punyeto ama tuwalaumu, wale waliochoka waache kwa njia zipi?
Binafsi mimi ni mpinga punyeto, narudia tena siyo typing error mimi ni mpinga punyeto kwahiyio mimi nashauri vijana, na wazee tuache punyeto.
karibuni tupeane mawazo[emoji120].
Wee ndo mwamba huyu hapaAchana ayo magazeti mzee kuna wale wadau walikua wanarahisisha kwa kuchora mikao ya sex,chooni na bafuni school mzee nilikua natumia hiyo michoro saana
Hapana mimi sio muumini wa dini yoyote. Ila mpigaUlokole tu umekujaa, kutisha tisha watu ayo majini labda kama unayo wewe ndo yakuzunguke,
Mimi sio mtu wa dini mkuu ila jua mfalme wa majini anaitwa asmodeus huyo jini kazi yake ndiyo hiyo. Hiyo ni Li Roho fulani linakufataUlokole tu umekujaa, kutisha tisha watu ayo majini labda kama unayo wewe ndo yakuzunguke,