Wapiga punyeto wanajinadi, wanajilaumu, wamechoka kujichua. Ukweli kuhusu punyeto ni upi?

Wapiga punyeto wanajinadi, wanajilaumu, wamechoka kujichua. Ukweli kuhusu punyeto ni upi?

Mfuma Uzi! Kaa ukijua Kila kitu kikizidi kina madhara,Kuna watu wanasema sijui punyeto,pombe,bangi na starehe kama hivyo ni vibaya mno!!
Wanapiga marufuku public ila privacy ni wadau


Ukikaa na kuanzia kusema punyeto Ina madhara ama faida ni wewe tu ataye kuelewa atakuelewa

Hata hiyo punyeto asilimia 90 ya watu Wana Fanya na unakuta Wana familia,madaktari,viongozi wa kisiasa na dini nk..


Kuna mtu nilikua namheshimu sana ni mtu mzima mwenye sofa kubwa,nilienda washroom hakuwa kafunga mlango nikakuta anawasha mzigo!

Alishtuka ila nilimuambia Mzee usiwaze nikamfungia mlango
punyeto ina wadau sana
 
UONGO UONGO UONGO

mwaka wa tatu huu nanyetuka

Bajet yangu ni 5000/- kwa kopo la mafuta ambalo linaisha kila baada ya miezi 7

Gono, UTI, Ngoma, Kaswende, HPV, Herpes na warts hua nazisikia kwenye radio na TV

Sijilaumu Kuwa Chamani

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenyekiti naona ushatia timu tayari
 
Faida
Nyeto - Inapunguza upotevu wa hela
Nyeto - inapunguza mimba zisizohitajika
Nyeto - Inapunguza matamanio ya mara kwa mara

Hasara
Nyeto - inalegeza mishipa
Nyeto - inaumiza kisaikolojia
Nyeto - inapunguza kujiamini wakati wa kutongoza
Nyeto - inafanya uume kusinyaa sinyaa wakati wa tendo la ndoa
Nyeto - ina uraibu ka sigara/pombe/uzinzi etc
Nyeto - ni ugonjwa wa kisaikolojia (sijawahio ona mnyama ng'ombe/mbuzi/sungura etc akifanya nyetoo)
 
Masturbation ni hand shaking with the real devil 😈, huwezi acha daima mpaka uzaliwe upya close your eyes.
 
Back
Top Bottom