Wapiga punyeto wanajinadi, wanajilaumu, wamechoka kujichua. Ukweli kuhusu punyeto ni upi?

Na kwanini ujifananishe na wanyama mkuu
 
Hii kitu imenisaidia sana

Hata nikiwa nakula manzi nina uwezo wa kuzuia kutoa wazungu mpaka pale ninapotaka,pia goli la kwanza ninaweza kuamua kuunganisha na la pili

Kupitia nyeto nilijifunza kupoteza mawazo,yaan ninaweza kufikiria safar ya dar to mwanza na vituo vyake nikiwa napeleka moto mpaka kibamia kinapata ngazi hapo hakimwagi mpaka nitake,demu anaweza kimbia
 
Aisee moja ya vitu ambavyo sitaki hata kuvisikia pamoja na punyeto kiufup najilamu sana imesababisha matatizo makubwa katika maisha yangu ambayo naangaikanayo mpaka sasa mi nimefanikia kuacha sitaki hata kuisikia punyeto. Vijana oeni acheni punyeto
 
Six years uboyzn, 4 yrz chuo, in marriage na watoto kadhaa ila hii kitu haijawai kuniangusha zaidi ya kunipunguzia gharama unnecessary na usumbufu.
masturbation will take you nowhere brother, kuwa mkweli siyo kwamba imekuepushia usumbufu, wewe ni domo zege, na bado ni domo zege, then uko isolative thus y unapata na masturbation airtime.

Accelerate yourself out of this mess bro its damage your soul very slowly to an extent that you can't recognize shauri yako.
 
Punyeto watu wanapiga ila Sasa,wanaozidisha halafu unakuta Hana girl friend Hali akashiba yeye ni nyeto tu hapo lazima apate athari hasa kisaikolojia
Ni sawa na mtu anayekunywa mapombe Kila siku atachoka tu
punheto haijawah kuwa faida no matter what circumstances.
 
mkuu psychological consequences ndo mbaya zaidi kuliko chochote, wapiga punyeto akili zao zinafanana na watu wa dizaini hii ukiwaangalia utasema ni wapole ila kiundani fikra zao zimejaa uoga yaan ni waoga hata kuchangia mijadala.
 
Oya jomba temana na mada za punyeto,manake Sasa zimejaa leta hatA za kilimo
Punyeto ni kitu Cha kawaida sana wauza mamizizi na vichaa ndio wanaiongelea vibaya
sina cheti cha SUA mkuu
 
Masturbation ni hand shaking with the real devil [emoji48], huwezi acha daima mpaka uzaliwe upya close your eyes.
hakuna atakaekuelewa brother lakini huo ndo ukweli
 
Aisee moja ya vitu ambavyo sitaki hata kuvisikia pamoja na punyeto kiufup najilamu sana imesababisha matatizo makubwa katika maisha yangu ambayo naangaikanayo mpaka sasa mi nimefanikia kuacha sitaki hata kuisikia punyeto. Vijana oeni acheni punyeto
Asante kwa ushuhuda mkuu
 
Labda uletwe ugonjwa wa nyeto ila la sivyo siachi boss hujui tu inavyo saidia mkuu
 
Achana ayo magazeti mzee kuna wale wadau walikua wanarahisisha kwa kuchora mikao ya sex,chooni na bafuni school mzee nilikua natumia hiyo michoro saana
Wee ndo mwamba huyu hapa
πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ulokole tu umekujaa, kutisha tisha watu ayo majini labda kama unayo wewe ndo yakuzunguke,
Hapana mimi sio muumini wa dini yoyote. Ila mpiga
Ulokole tu umekujaa, kutisha tisha watu ayo majini labda kama unayo wewe ndo yakuzunguke,
Mimi sio mtu wa dini mkuu ila jua mfalme wa majini anaitwa asmodeus huyo jini kazi yake ndiyo hiyo. Hiyo ni Li Roho fulani linakufata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…