financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Kuna jamaa alinikomalia bro, twende angalau nipate Buku. Nikasema poa, ila masharti Bus liwe na USB port. Maana default usafiri wangu abood nimepeleleza hazifanyi kazi.Haha Morogoro! Sitosahau siku naenda Mbeya nawaambia nahitaji bus fulani naambiwa Dada hilo bus siyo zuri na mtachelewa kufika sana panda hili linaondoka sahivi,aah sijui tu nikajikuta nabadilisha maamuzi aisee kilichotokea Mbeya tulifika usiku mnene bus bayaa speed hamna! Ila ahsanten kwa ukarimu wenu watu wa Moro.๐๐
Kakupeleka kwenye Bus ambalo haliendi popote๐๐ aisee alitisha sana, hilo buku alipata sasa๐Kuna jamaa alinikomalia bro, twende angalau nipate Buku. Nikasema poa, ila masharti Bus liwe na USB port. Maana default usafiri wangu abood nimepeleleza hazifanyi kazi.
Jamaa kwa ujasiri ananipeleka kwenye Bus la BM ambalo haliendi popote. Mwenzake ananicheka na mimi nacheka kwa sababu nilitaka kuona mwisho wake. Baadae akaona noma, ilikuwa saa moja jioni. Ikabidi niingie abood yule jamaa tukaagana vzr hata haibu hana, ila ni mtu mwema tu
HAHAha aliniacha bila kuaga. Huku nacheka...Kakupeleka kwenye Bus ambalo haliendi popote๐๐ aisee alitisha sana, hilo buku alipata sasa๐
๐๐HAHAha aliniacha bila kuaga. Huku nacheka...