Wapigaji na wezi wa mashirika ya Umma wanaposubiri kupandishiwa mishahara yao Mei Mosi

Wapigaji na wezi wa mashirika ya Umma wanaposubiri kupandishiwa mishahara yao Mei Mosi

Phillipo Bukililo

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2015
Posts
18,487
Reaction score
13,611
Binadamu alivyoimbwa ni tofauti na wanyama wengi anaowatawala maishani mwake kila siku. Anao uwezo wa kuificha ile hulka yake ya ndani kabisa akacheka kwa bashasha na uchangamfu na usiweze hata kidogo kuitambia nia yake ya ndani. Huwa natizama vile vipindi vya matukio ya maisha ya wamarekani wanaitwa ID (Investigation Discovery) na sura zote za wale wauwaji makatili mara nyingi ni zile zilizozoeleka kuonekana makanisani tena zikiwa zimekaa viti vya mbele kabisa.

Zimeimbwa nyimbo nyingi ni wanamuziki mbalimbali kuelezea hizi sura mbili za mwanadamu na namna anavyoweza kuuma na kupuliza akiwa ni sehemu muhimu ya jamii inayomzunguka. Binadamu ni kiumbe mwenye uwezo wa kuificha nia yake na anayemzunguka wala asiweze kufahamu anawaza nini na kwa muda gani. Simba, Fisi, Kima, Chui na hata hawa paka na panya walio karibu zaidi na binadamu huwa hawana uwezo wa kuficha kusudio lao wanapokuwa mbele ya macho yetu. Wapo wazi na ukiwaona tu unajua wanachotaka kukifanya ni kipi.

Nimejikuta nikiwa katika tafakari hii baada ya kukumbuka ahadi aliyoitoa Rais Samia Suluhu Hassan mwaka jana siku ya Mei Mosi pale Kirumba Stadium Mwanza. Aliahidi kupandisha mishahara ya wafanyakazi akitumia maneno ya kingereza 'package'. Wafanyakazi wa serikali kwa sasa wanaisubiri kwa hamu hiyo package yao mpya ambayo kwa kawaida huambatana na kupanda kwa bei ya baadhi ya bidhaa za kila siku.

Ni hawa hawa wanaoisubiri hiyo package mpya waliojawa na ufundi wa kuchora michoro ya wizi wa mapesa. Kibaya zaidi huwa wanaiba mabilioni ya shilingi za waajiri wao. Ni hawa hawa wanaotengeneza stika feki pale Uhamiaji ndio wanaopita na mabango ya kudai nyongeza za mishahara wakati wa yale maandamano maarufu ya Mei Mosi ya viwanjani. Ni hawa hawa ambao CAG anawapa hati ya chafu baada ya kugundua wizi uliokubuhu ndio wenye ushujaa wa kubeba mabango ya kudai malipo mazuri zaidi.

Ni hawa hawa wafanyakazi wenye uaminifu karibu na zero, ndio wanaoanzisha nyuzi za kuponda awamu za serikali iwapo wanaoona mishahara yao haipandishwi. Wanataka wapewe kikubwa na mwajiri wakati huo hawana sifa ya maana sana ya kuwa nayo, ile ya uaminifu kwa mali ya umma. Ni hawa hawa wabeba mabango wanaonuna wanaposikia mwaka huu kutakuwa hakuna nyongeza ya mshahara wenye maarifa ya kutengeneza michoro ya mishahara hewa inayokwenda mpaka kufikia pensheni hewa wakati huyo mwajiriwa hewa anapokuwa amestaafu.

CAG anawaumbua sana wafanyakazi wa sekta mbalimbali kila mwaka na hawachoki kudai nyongeza ambalo kwa kweli ni jasho lao. Pesa zinazoingia mifukoni mwa watu kwa maana ya wizi ni nyingi kulinganisha na zile zinazotumika katika kuongeza mishahara ya wafanyakazi nchi nzima.

Uaminifu ni mtihani mkubwa kwa watanzania. Mahubiri yale maarufu ya wachungaji, mashekhe na mapadre yanajikita katika kuupiga vita ubinafsi mimi naamini kingine cha kupigwa vita ni ukosefu wa uaminifu kwani unayo hatari ya kuleta mgawanyiko wa kijamii.

Siku zote huwa chanzo kikubwa sana cha malalamiko haswa kutoka watu wa tabaka la chini.
 
Binadamu alivyoimbwa ni tofauti na wanyama wengi anaowatawala maishani mwake kila siku. Anao uwezo wa kuificha ile hulka yake ya ndani kabisa akacheka kwa bashasha na uchangamfu na usiweze hata kidogo kuitambia nia yake ya ndani. Huwa natizama vile vipindi vya matukio ya maisha ya wamarekani wanaitwa ID (Investigation Discovery) na sura zote za wale wauwaji makatili mara nyingi ni zile zilizozoeleka kuonekana makanisani tena zikiwa zimekaa viti vya mbele kabisa.

Zimeimbwa nyimbo nyingi ni wanamuziki mbalimbali kuelezea hizi sura mbili za mwanadamu na namna anavyoweza kuuma na kupuliza akiwa ni sehemu muhimu ya jamii inayomzunguka. Binadamu ni kiumbe mwenye uwezo wa kuificha nia yake na anayemzunguka wala asiweze kufahamu anawaza nini na kwa muda gani. Simba, Fisi, Kima, Chui na hata hawa paka na panya walio karibu zaidi na binadamu huwa hawana uwezo wa kuficha kusudio lao wanapokuwa mbele ya macho yetu. Wapo wazi na ukiwaona tu unajua wanachotaka kukifanya ni kipi.

Nimejikuta nikiwa katika tafakari hii baada ya kukumbuka ahadi aliyoitoa Rais Samia Suluhu Hassan mwaka jana siku ya Mei Mosi pale Kirumba Stadium Mwanza. Aliahidi kupandisha mishahara ya wafanyakazi akitumia maneno ya kingereza 'package'. Wafanyakazi wa serikali kwa sasa wanaisubiri kwa hamu hiyo package yao mpya ambayo kwa kawaida huambatana na kupanda kwa bei ya baadhi ya bidhaa za kila siku.

Ni hawa hawa wanaoisubiri hiyo package mpya waliojawa na ufundi wa kuchora michoro ya wizi wa mapesa. Kibaya zaidi huwa wanaiba mabilioni ya shilingi za waajiri wao. Ni hawa hawa wanaotengeneza stika feki pale Uhamiaji ndio wanaopita na mabango ya kudai nyongeza za mishahara wakati wa yale maandamano maarufu ya Mei Mosi ya viwanjani. Ni hawa hawa ambao CAG anawapa hati ya chafu baada ya kugundua wizi uliokubuhu ndio wenye ushujaa wa kubeba mabango ya kudai malipo mazuri zaidi.

Ni hawa hawa wafanyakazi wenye uaminifu karibu na zero, ndio wanaoanzisha nyuzi za kuponda awamu za serikali iwapo wanaoona mishahara yao haipandishwi. Wanataka wapewe kikubwa na mwajiri wakati huo hawana sifa ya maana sana ya kuwa nayo, ile ya uaminifu kwa mali ya umma. Ni hawa hawa wabeba mabango wanaonuna wanaposikia mwaka huu kutakuwa hakuna nyongeza ya mshahara wenye maarifa ya kutengeneza michoro ya mishahara hewa inayokwenda mpaka kufikia pensheni hewa wakati huyo mwajiriwa hewa anapokuwa amestaafu.

CAG anawaumbua sana wafanyakazi wa sekta mbalimbali kila mwaka na hawachoki kudai nyongeza ambalo kwa kweli ni jasho lao. Pesa zinazoingia mifukoni mwa watu kwa maana ya wizi ni nyingi kulinganisha na zile zinazotumika katika kuongeza mishahara ya wafanyakazi nchi nzima.

Uaminifu ni mtihani mkubwa kwa watanzania. Mahubiri yale maarufu ya wachungaji, mashekhe na mapadre yanajikita katika kuupiga vita ubinafsi mimi naamini kingine cha kupigwa vita ni ukosefu wa uaminifu kwani unayo hatari ya kuleta mgawanyiko wa kijamii.

Siku zote huwa chanzo kikubwa sana cha malalamiko haswa kutoka watu wa tabaka la chini.
We fala wa legacy,wanaoiba ni maofisa wa juu sio junior staff..

Junior staff utaibabe na na huna hiyo fursa?
 
Salary increment ni suala lipo kiutaratibu kama ilivyo kwa likizo sasa mshamba akaona watu kupewa increment ni dezo au hisani poleni sana.

Mwalimu wangu mmoja mmarekani aliwahi kuniambia matatizo mengi tuyaonanayo yanatatulika endapo critical thinkers wakiwa involved .

Imagine ofisi kubwa kama ile akapewa mtu aliyesemekana ana hitilafu kwenye dopamine zake na ndio unatarajia aongoze wengine utapata nini?

Nyie ndio wale wazalendo uchwara mkiona 2 Billions kwenye account ya mtu zama zile mnaenda kumkamata na kuchukua pesa zake kisha kumpa kesi za uhujumu uchumi .

Halafu mnakuja kusema makusanyo yamevunja record kumbe mnakwapua pesa za watu na kwa jinsi hii wageni na wazawa wengi walitimkia nje.
 
Salary increment ni suala lipo kiutaratibu kama ilivyo kwa likizo sasa mshamba akaona watu kupewa increment ni dezo au hisani poleni sana.

Mwalimu wangu mmoja mmarekani aliwahi kuniambia matatizo mengi tuyaonanayo yanatatulika endapo critical thinkers wakiwa involved .

Imagine ofisi kubwa kama ile akapewa mtu aliyesemekana ana hitilafu kwenye dopamine zake na ndio unatarajia aongoze wengine utapata nini?

Nyie ndio wale wazalendo uchwara mkiona 2 Billions kwenye account ya mtu zama zile mnaenda kumkamata na kuchukua pesa zake kisha kumpa kesi za uhujumu uchumi .

Halafu mnakuja kusema makusanyo yamevunja record kumbe mnakwapua pesa za watu na kwa jinsi hii wageni na wazawa wengi walitimkia nje.
Hebu weka hapa hiyo sheria au mkataba uliowekwa wa salary increment
 
Binadamu alivyoimbwa ni tofauti na wanyama wengi anaowatawala maishani mwake kila siku. Anao uwezo wa kuificha ile hulka yake ya ndani kabisa akacheka kwa bashasha na uchangamfu na usiweze hata kidogo kuitambia nia yake ya ndani. Huwa natizama vile vipindi vya matukio ya maisha ya wamarekani wanaitwa ID (Investigation Discovery) na sura zote za wale wauwaji makatili mara nyingi ni zile zilizozoeleka kuonekana makanisani tena zikiwa zimekaa viti vya mbele kabisa.

Zimeimbwa nyimbo nyingi ni wanamuziki mbalimbali kuelezea hizi sura mbili za mwanadamu na namna anavyoweza kuuma na kupuliza akiwa ni sehemu muhimu ya jamii inayomzunguka. Binadamu ni kiumbe mwenye uwezo wa kuificha nia yake na anayemzunguka wala asiweze kufahamu anawaza nini na kwa muda gani. Simba, Fisi, Kima, Chui na hata hawa paka na panya walio karibu zaidi na binadamu huwa hawana uwezo wa kuficha kusudio lao wanapokuwa mbele ya macho yetu. Wapo wazi na ukiwaona tu unajua wanachotaka kukifanya ni kipi.

Nimejikuta nikiwa katika tafakari hii baada ya kukumbuka ahadi aliyoitoa Rais Samia Suluhu Hassan mwaka jana siku ya Mei Mosi pale Kirumba Stadium Mwanza. Aliahidi kupandisha mishahara ya wafanyakazi akitumia maneno ya kingereza 'package'. Wafanyakazi wa serikali kwa sasa wanaisubiri kwa hamu hiyo package yao mpya ambayo kwa kawaida huambatana na kupanda kwa bei ya baadhi ya bidhaa za kila siku.

Ni hawa hawa wanaoisubiri hiyo package mpya waliojawa na ufundi wa kuchora michoro ya wizi wa mapesa. Kibaya zaidi huwa wanaiba mabilioni ya shilingi za waajiri wao. Ni hawa hawa wanaotengeneza stika feki pale Uhamiaji ndio wanaopita na mabango ya kudai nyongeza za mishahara wakati wa yale maandamano maarufu ya Mei Mosi ya viwanjani. Ni hawa hawa ambao CAG anawapa hati ya chafu baada ya kugundua wizi uliokubuhu ndio wenye ushujaa wa kubeba mabango ya kudai malipo mazuri zaidi.

Ni hawa hawa wafanyakazi wenye uaminifu karibu na zero, ndio wanaoanzisha nyuzi za kuponda awamu za serikali iwapo wanaoona mishahara yao haipandishwi. Wanataka wapewe kikubwa na mwajiri wakati huo hawana sifa ya maana sana ya kuwa nayo, ile ya uaminifu kwa mali ya umma. Ni hawa hawa wabeba mabango wanaonuna wanaposikia mwaka huu kutakuwa hakuna nyongeza ya mshahara wenye maarifa ya kutengeneza michoro ya mishahara hewa inayokwenda mpaka kufikia pensheni hewa wakati huyo mwajiriwa hewa anapokuwa amestaafu.

CAG anawaumbua sana wafanyakazi wa sekta mbalimbali kila mwaka na hawachoki kudai nyongeza ambalo kwa kweli ni jasho lao. Pesa zinazoingia mifukoni mwa watu kwa maana ya wizi ni nyingi kulinganisha na zile zinazotumika katika kuongeza mishahara ya wafanyakazi nchi nzima.

Uaminifu ni mtihani mkubwa kwa watanzania. Mahubiri yale maarufu ya wachungaji, mashekhe na mapadre yanajikita katika kuupiga vita ubinafsi mimi naamini kingine cha kupigwa vita ni ukosefu wa uaminifu kwani unayo hatari ya kuleta mgawanyiko wa kijamii.

Siku zote huwa chanzo kikubwa sana cha malalamiko haswa kutoka watu wa tabaka la chini.
Mimi mwenyewe huwa nashangaa wafanyakazi wa seriksli waongezewe mishahara kwa kazi gani wanazo fanya? Hakuna kazi yoyote ya maana wanayofanya zaidi ya kuamka asubuhi na kwenda ofisini kujaza vyoo tu , nikama wabunge wa tz wanalipwa mishahara for nothing.
 
Salary increment ni suala lipo kiutaratibu kama ilivyo kwa likizo sasa mshamba akaona watu kupewa increment ni dezo au hisani poleni sana.

Mwalimu wangu mmoja mmarekani aliwahi kuniambia matatizo mengi tuyaonanayo yanatatulika endapo critical thinkers wakiwa involved .

Imagine ofisi kubwa kama ile akapewa mtu aliyesemekana ana hitilafu kwenye dopamine zake na ndio unatarajia aongoze wengine utapata nini?

Nyie ndio wale wazalendo uchwara mkiona 2 Billions kwenye account ya mtu zama zile mnaenda kumkamata na kuchukua pesa zake kisha kumpa kesi za uhujumu uchumi .

Halafu mnakuja kusema makusanyo yamevunja record kumbe mnakwapua pesa za watu na kwa jinsi hii wageni na wazawa wengi walitimkia nje.
Hili ni povu la mpigaji mzoefu.
 
Mimi mwenyewe huwa nashangaa wafanyakazi wa seriksli waongezewe mishahara kwa kazi gani wanazo fanya? Hakuna kazi yoyote ya maana wanayofanya zaidi ya kuamka asubuhi na kwenda ofisini kujaza vyoo tu , nikama wabunge wa tz wanalipwa mishahara for nothing.
Wivu wa kike huo
 
Wanyonge washamba sana. Wewe philipo na wenzako mnasumbuliwa na ujinga.
1. Juni 2021 mama alipandisha vyeo watumish karibia 80 elfu

2. Mei 2022 watumish laki 1 kasoro watapanda vyeo.

Mama ana roho nzuri sana.

Ngoja niende nmb kuchukua m7 nimalizie hekalu langu.

Wachawi ***** zenu
 
Wanyonge washamba sana. Wewe philipo na wenzako mnasumbuliwa na ujinga.
1. Juni 2021 mama alipandisha vyeo watumish karibia 80 elfu

2. Mei 2022 watumish laki 1 kasoro watapanda vyeo.

Mama ana roho nzuri sana.

Ngoja niende nmb kuchukua m7 nimalizie hekalu langu.

Wachawi ***** zenu
Dah umendika kwa hisia kali sana. Matumaini yangu CAG amekuta kila kitu kipo salama hapo ofisini kwako.
 
Dah umendika kwa hisia kali sana. Matumaini yangu CAG amekuta kila kitu kipo salama hapo ofisini kwako.
Uache kufuatilia yasiyokuhusu. Cag, pccb na usalama wa taifa wanajua majukum yako.

Wewe mwenyewe unalelewa na huyo nesi.

Acha roho mbaya ya kishwetani. Hata hivyo wanaoumia ni sekta binafsi. Huku kwa mama samia mikataba ni permanet anda pensionable.

Ongeza juhudi za kulipa kodi uwatunze watumish hadi watakapokufa.
 
Wanyonge washamba sana. Wewe philipo na wenzako mnasumbuliwa na ujinga.
1. Juni 2021 mama alipandisha vyeo watumish karibia 80 elfu

2. Mei 2022 watumish laki 1 kasoro watapanda vyeo.

Mama ana roho nzuri sana.

Ngoja niende nmb kuchukua m7 nimalizie hekalu langu.

Wachawi ***** zenu
  • GDP inasemaje kwa mwaka?
  • Figure halisi za makusanyo + hongo tunazochukua zikoje?
  • Sekta ya umma inaongezaje tija kwa taifa?

Mathalani, Wizara ya Nishati, Ewura, Rea, Tanesco. Hawa wote wanashughulikia umeme nchini, uwepo wao una tija yoyote kwa mwananchi wa kawaida?

Private sectors wanaangalia turnover ya mwaka, wanaangalia input ya wafanyakazi, wanawapa increment kwa kuangalia infation iliyotangazwa na hao wanaotaka kupandishwa mishahara based on 3yrs term AU kwa promotion ambayo nayo haitikani na mseleleko ila uhitaji halisi au perfomance based.

Nchi maskini, watumishi wa serikali matajiri, mishahara midogo; vere machi konfyuzing
 
Uache kufuatilia yasiyokuhusu. Cag, pccb na usalama wa taifa wanajua majukum yako.

Wewe mwenyewe unalelewa na huyo nesi.

Acha roho mbaya ya kishwetani. Hata hivyo wanaoumia ni sekta binafsi. Huku kwa mama samia mikataba ni permanet anda pensionable.

Ongeza juhudi za kulipa kodi uwatunze watumish hadi watakapokufa.
Nidhamu kazini ni msingi wa maendeleo, kuna bendi moja ya zamani iliuimba huo wimbo.
 
  • GDP inasemaje kwa mwaka?
  • Figure halisi za makusanyo + hongo tunazochukua zikoje?
  • Sekta ya umma inaongezaje tija kwa taifa?

Mathalani, Wizara ya Nishati, Ewura, Rea, Tanesco. Hawa wote wanashughulikia umeme nchini, uwepo wao una tija yoyote kwa mwananchi wa kawaida?

Private sectors wanaangalia turnover ya mwaka, wanaangalia input ya wafanyakazi, wanawapa increment kwa kuangalia infation iliyotangazwa na hao wanaotaka kupandishwa mishahara based on 3yrs term AU kwa promotion ambayo nayo haitikani na mseleleko ila uhitaji halisi au perfomance based.

Nchi maskini, watumishi wa serikali matajiri, mishahara midogo; vere machi konfyuzing
Kuna taasisi nyingi zenye ufanisi wa jumla jumla usiolingana na tarajio la kukua kwa uchumi. Ukiwa mkweli utachukiwa na wengi.
 
Binadamu alivyoimbwa ni tofauti na wanyama wengi anaowatawala maishani mwake kila siku. Anao uwezo wa kuificha ile hulka yake ya ndani kabisa akacheka kwa bashasha na uchangamfu na usiweze hata kidogo kuitambia nia yake ya ndani. Huwa natizama vile vipindi vya matukio ya maisha ya wamarekani wanaitwa ID (Investigation Discovery) na sura zote za wale wauwaji makatili mara nyingi ni zile zilizozoeleka kuonekana makanisani tena zikiwa zimekaa viti vya mbele kabisa.

Zimeimbwa nyimbo nyingi ni wanamuziki mbalimbali kuelezea hizi sura mbili za mwanadamu na namna anavyoweza kuuma na kupuliza akiwa ni sehemu muhimu ya jamii inayomzunguka. Binadamu ni kiumbe mwenye uwezo wa kuificha nia yake na anayemzunguka wala asiweze kufahamu anawaza nini na kwa muda gani. Simba, Fisi, Kima, Chui na hata hawa paka na panya walio karibu zaidi na binadamu huwa hawana uwezo wa kuficha kusudio lao wanapokuwa mbele ya macho yetu. Wapo wazi na ukiwaona tu unajua wanachotaka kukifanya ni kipi.

Nimejikuta nikiwa katika tafakari hii baada ya kukumbuka ahadi aliyoitoa Rais Samia Suluhu Hassan mwaka jana siku ya Mei Mosi pale Kirumba Stadium Mwanza. Aliahidi kupandisha mishahara ya wafanyakazi akitumia maneno ya kingereza 'package'. Wafanyakazi wa serikali kwa sasa wanaisubiri kwa hamu hiyo package yao mpya ambayo kwa kawaida huambatana na kupanda kwa bei ya baadhi ya bidhaa za kila siku.

Ni hawa hawa wanaoisubiri hiyo package mpya waliojawa na ufundi wa kuchora michoro ya wizi wa mapesa. Kibaya zaidi huwa wanaiba mabilioni ya shilingi za waajiri wao. Ni hawa hawa wanaotengeneza stika feki pale Uhamiaji ndio wanaopita na mabango ya kudai nyongeza za mishahara wakati wa yale maandamano maarufu ya Mei Mosi ya viwanjani. Ni hawa hawa ambao CAG anawapa hati ya chafu baada ya kugundua wizi uliokubuhu ndio wenye ushujaa wa kubeba mabango ya kudai malipo mazuri zaidi.

Ni hawa hawa wafanyakazi wenye uaminifu karibu na zero, ndio wanaoanzisha nyuzi za kuponda awamu za serikali iwapo wanaoona mishahara yao haipandishwi. Wanataka wapewe kikubwa na mwajiri wakati huo hawana sifa ya maana sana ya kuwa nayo, ile ya uaminifu kwa mali ya umma. Ni hawa hawa wabeba mabango wanaonuna wanaposikia mwaka huu kutakuwa hakuna nyongeza ya mshahara wenye maarifa ya kutengeneza michoro ya mishahara hewa inayokwenda mpaka kufikia pensheni hewa wakati huyo mwajiriwa hewa anapokuwa amestaafu.

CAG anawaumbua sana wafanyakazi wa sekta mbalimbali kila mwaka na hawachoki kudai nyongeza ambalo kwa kweli ni jasho lao. Pesa zinazoingia mifukoni mwa watu kwa maana ya wizi ni nyingi kulinganisha na zile zinazotumika katika kuongeza mishahara ya wafanyakazi nchi nzima.

Uaminifu ni mtihani mkubwa kwa watanzania. Mahubiri yale maarufu ya wachungaji, mashekhe na mapadre yanajikita katika kuupiga vita ubinafsi mimi naamini kingine cha kupigwa vita ni ukosefu wa uaminifu kwani unayo hatari ya kuleta mgawanyiko wa kijamii.

Siku zote huwa chanzo kikubwa sana cha malalamiko haswa kutoka watu wa tabaka la chini.
Wakamate.Peleka mahakamani wapewe "zawadi zao za ushindi"!
 
Back
Top Bottom