Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,986
Mwalimu unajenga hekalu? Labda hekalu la topeWanyonge washamba sana. Wewe philipo na wenzako mnasumbuliwa na ujinga.
1. Juni 2021 mama alipandisha vyeo watumish karibia 80 elfu
2. Mei 2022 watumish laki 1 kasoro watapanda vyeo.
Mama ana roho nzuri sana.
Ngoja niende nmb kuchukua m7 nimalizie hekalu langu.
Wachawi ***** zenu
Alafu tulishasema humu walimu sio watumishi wa umma, Bali walimu ni watawa.
Watumishi wa umma wapo Ega, TRA, BOT, EWURA, TCRA, TMDA, WCF, NSSF, TPA, N.K na kamwe walio humo hawawezi kuandika comment kama yako.