Wapigaji na wezi wa mashirika ya Umma wanaposubiri kupandishiwa mishahara yao Mei Mosi

Mwalimu unajenga hekalu? Labda hekalu la tope
Alafu tulishasema humu walimu sio watumishi wa umma, Bali walimu ni watawa.

Watumishi wa umma wapo Ega, TRA, BOT, EWURA, TCRA, TMDA, WCF, NSSF, TPA, N.K na kamwe walio humo hawawezi kuandika comment kama yako.
 
Ww jamaa kazi ya ualimu sio ya kuja kujitutumua mbele za watu. Unatia aibu kabisa

Alafu tulishasema humu kuwa walimu sio watumishi wa umma
 

Mei Mosi Samia atakuwa Canada​

 
Mwalimu huyo, hayo unayomueleza anayajulia wapi?
 
Kuna watu stress zitawauwa. Pambaneni kulipa kodi ili walimu ambao ni ni vibarua wa nchi tupate kula.
 
Wivu wa kike huo
Mngekuwa mnafanya kazi hata kwa asilimia 25% ya kazi mnayotakiwa kufanya tanzania ingekuwa tajiri ila ukweli ni kwamba mnafanya kazi kwa asilimia 4% na asilimia 60% mnafanya kazi za ubadhilifu na uhalifu mwingine sehemu za kazi, asilimia 36% iliyobaki mnafanya kazi ya kutongozana basi[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Vyeo mmepandisha ila panya road wamerudi vyeo mmepandishwa ila rushwa imerudi vyeo mmepandishwa ila ufisadi umerudi vyeo mmepandishwa ila uzembe na dharau vimerudi vyeo mmepandishwa ila kutokuwajibika kazini kumerudi na kuongezeka , wafanyakazi wa serikali kazi pekee mnayo weza ni kujaza vyoo na ufisadi tu
 
Watanzania tuna wivu wa kijinga Sana. Hakuna mtu atapata nafasi yajuu awatengenezee maslahi wengine ajinyime yeye. Hata ubane vipi serikalini watu bado watatoboa. Ila nchi yetu naipongeza Sana tuna watu smart Sana hata wakijineemesha wanahakikisha mipango ya maendeleo yanatekelezwa. Ndugu Mwandishi Nina uhakika hata wewe ungekuwa waziri lazima ungepiga. Unampaje mchina Mradi wa bilioni 40 na wewe usiambulie hata 10,000 kweli ?
 
Kuna watu stress zitawauwa. Pambaneni kulipa kodi ili walimu ambao ni ni vibarua wa nchi tupate kula.
Mwalimu? Mwalimu ?

Uwe unaona aibu, wenzio wengi hata kuzungumza tu wanaona aibu.

Hapa ilipaswa waliopo kwenye utumishi wa umma kweli ndio wazungumze.

Chukua hii, Kuna taasisi ya serikali mtu anayeanza kazi leo analipwa mil 2.8 basic salary. Hapo allowances zingine bado
 
Mwalimu huyo, achana nae
 
Na hayo ndio yamefanya hadi leo hii pesa za kujenga vyoo tunasubiri msaada.

Tunapoona wenzetu wameendelea na umaskini umeisha basi jua waliweza kudhibiti hayo.

Nchi haiwezk kuendelea kwa watu wake kuiibia
 
HEKALU??!! MATAJIRI WA JF,
 
Na hayo ndio yamefanya hadi leo hii pesa za kujenga vyoo tunasubiri msaada.

Tunapoona wenzetu wameendelea na umaskini umeisha basi jua waliweza kudhibiti hayo.

Nchi haiwezk kuendelea kwa watu wake kuiibia
Yaliyofanya wenzetu waendelee ni kuruhusu nchi iongozwe na matajiri. Ukiangalia mataifa Makubwa Kuna makampuni mpaka ya umeme, Maji, mawasiliano yanajitegemea. Serikali inawabeba matajiri Ili wawekeze watengeneze ajira. Mfumo wetu wa serikali ni mbovu unampa mtu nyumba na V8 kwa sababu ya cheo. Inabidi umpendelee mtu kwa sababu ameajiri watu wa kutosha na ana mtandao wa masoko Mkubwa. Mtu kama Rostam ni mtu smart Sana. Ni kumtengenezea mazingira mazuri na madeal atakayofanya yataneemesha nchi yetu kwa Kodi. Wengi wetu tunalipa Kodi tunaponunua bidhaa za matajiri kama Soda, Juice,Bia n.k.
 
Tunaongelea ufisadi na vita ambayo kila unayemuamini kama ni mpambanaji wa kikosi cha mbele kabisa kumbe haaminiki.
 
Lugha gongana
Mm nilikua najibu ulipokuwa unasema wanakula hizo pesa za wizi kwa 10% ni kawaida na waachwe. Ww umekuja na suala la serikali kuwakumbatia matajiri ambalo mm sikulisema Wala kuzungumzia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…