Wapigaji na wezi wa mashirika ya Umma wanaposubiri kupandishiwa mishahara yao Mei Mosi

Na hayo ndio yamefanya hadi leo hii pesa za kujenga vyoo tunasubiri msaada.

Tunapoona wenzetu wameendelea na umaskini umeisha basi jua waliweza kudhibiti hayo.

Nchi haiwezk kuendelea kwa watu wake kuiibia
Wewe umenielewa vyema kabisa.
 
Watumishi wanaotakiwa kupandishwa mishahara ndio hao wapo bize wanalalamika hawajapewa sare za sikukuu...
 
Pole ssana.
 
Mwalimu huyo, achana nae
Wewe jamaa naona umeumia sana mimi kuwa mwalimu, kwa mujibu wako sina hadhi hata ya kulisha mifugo wako. Mimi nakuhakikishia kuwa nina furaha na amani sana.
Ninachosubiri ni mama kunena neno na hata akichana mkeka ipo siku atatenda jema.

Wewe kwa mchango wako wa kwenye jamii na uchumi ni upi? Kama ni tajiri nakuombea utajirike zaidi ili kodi yako inipatie chakula na uji wa watoto wangu.
 
Walimu mpandishwe tu kwa kweli mnaishi maisha magumu sn
 
Tunaongelea ufisadi na vita ambayo kila unayemuamini kama ni mpambanaji wa kikosi cha mbele kabisa kumbe haaminiki.
Ufisadi upo na utaendelea kuwepo kama haitobadilika. Nimeshasema Ili tuendelee lazima tuwakumbatie wawekezaji na si vinginevyo. Unamnunulia mkuu wa mkoa V8 ya Nini ? anafanya kitu gani productive ? Ametengeneza ajira ngapi ? Ni sawa na watoto wa matajiri mtoto anapata DIV IV unapeleka China akirudi anakuja kuwa mlevi unalaumu. Kwa Sasa hivi mafisadi waibe tu lakini wafungue ajira mpya iba bilioni lakini fungua kiwanda au hoteli watu wapate ajira. Sio unaiba bilioni unamjengea hawara ghorofa, unanunua benzi tatu au unaongeza mke. Jamani swala la ufisadi halikwepeki, na Tanzania kama nchi hatuna ufisadi wa kutisha kama Kenya, Congo na Nigeria. Nigeria wana mafuta lakini wana uhaba wa mafuta. Mpaka leo Nigeria hawana umeme wa uhakika lakini wana mabilionea. Kwa sababu Mafisadi wao hawawekezi kwenye biashara kubwa. Ukitembelea Instagram utaona waNigeria wanamiliki ma Ferrari au Lamborghini. Wanasiasa kama hao hawafai kabisa. Iba uanzishe business sio uibe halafu unayumbisha uchumi wa nchi.
 
Kama mama hata timiza ahadi yake.. b
Basi kuna haja ya shirikisho la vyama vya wafanyakazi kuchukua hatua kali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…