... aisee; wangeielekeza katika academics, research, and innovation wangekuwa next level. Somalia ingekuwa inashindana na Japan in development.Ebu fikiria hiyo roho ngumu wangeielekeza kwenye nguvu kazi?!
Si wangekuwa mbali kimaendeleo!
Mazuzu kabisa hayo
Saa hizi wako na mabikira 72 wanawafurahia pale kwa Allah.πHivi wakiua ndio wanapata swawab sio? Championship π
πππShida ulete kashfa kwa uislamu tu hauna jipya mara sijui mauwaji ya hijabu ,unatumia nguvu tangu enzi za miaka buki izo nguvu zimetumika kuundamiza wapi hata malkia kapambana nao mpaka kafariki kaacha uislamu unaendelea zaidi haki itabaki pale paleMnachukiana wenyewe kwanza kabla hatujawachukia, Somalia wote dini moja mnalipuana mabomu kisa allah na mohammed.
Kama nia yao ni kuua,wawaue Wasomali wote ili wabaki peke yao.Sioni hata maana ya mapigano yao.
πππShida ulete kashfa kwa uislamu tu hauna jipya mara sijui mauwaji ya hijabu ,unatumia nguvu tangu enzi za miaka buki izo nguvu zimetumika kuundamiza wapi hata malkia kapambana nao mpaka kafariki kaacha uislamu unaendelea zaidi haki itabaki pale pale
Walishindwa Marekani pale Somalia.Hawa inabidi dunia iungane waingiliwe kijeshi Somalia isafishwe kabisa, haijulikani hata wanataka kitu gani wao ni kulipua tu.
Ni chizi tu asieogopa dini iliyo tayari kuua kila anaeipinga.Unaogopa sana uislamu ππππkijana wa paulo ,