Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I think kuna tatizo katka mfumo wetu wa elimu...somewhereUmenena vyema sana..hasa wafuasi wa mudi..ndio mana wakishindwa kujibu hoja..wanakimbialia ushoga na kuanzi kutukana matusi ya ajabu ajabu.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Angalia jina lako kwanza siongei na shoga ,kaliwe mbele!Ushoga uliletwa Afrika Mashariki na waarabu walipokuja kufanya biashara haramu ya utumwa na maeneo waliyokaa ndio yanaongoza kwa ushoga. Waarabu bogus kabisa.
pole sana nani wa kuipiga marufuku wewe au? iyo dini ilikuwepo before kabla ya kitu chochote apa duniani al shabab wanajulikana ni kikundi cha kina nani adi watu wanaokiendesha wanajulikana cha kujiuliza wanapata wapi silaha, pesa na vitu vingine adi kambi yao inajulikana ulishawai kujiulza why awavamiwi? wapo watu wanaokilea ndio wamefanya mpaka leo hii kiwepo mnapouongelea uislamu msiwe mnaufananisha na vikundi vya ovyo ovyo visivyojua vinapigania nini na kwa ajili ya nani.Hii dini itakuja kupigwa marufuku miaka ya mbele hapa Dunia ni suala la muda tu. Ngoja kwanza wanawake wa Iran wawachachafye mashehekhe then uje utaratibu mpya wa kuabudu. Baada ya hapo Suicide Bombers wote watapoteana.
Ila wapo Wasomali wasomi Sana na wanafundisha vyuo vikubwa duniani na kuongoza mashirika ya kimataifa, kiteknolojia na kampuni kadhaa za kimataifa....ila wameshindwa kuisaidia nchi yao.... aisee; wangeielekeza katika academics, research, and innovation wangekuwa next level. Somalia ingekuwa inashindana na Japan in development.
Vijana wengi wamekosa elimu ya dini ndio shida inapoanzia kwaiyo anapotokea mtu mwenye nia ovu akawa brainwash tayari wanapotea wapo watu waislamu wenzangu wanasema kile wanachokifanya al shabab ni jihad jibu ni ili amna jihad pale ...jihad inasheria nyingi na kati ya izo sheria amna hata moja al shabab na vikundi vingine vya west ambayo wanaifuataHizi dini kwa kweli Mungu tu asimame maana jana dw nilisikia zanzibar kuna vijana saba hawajulikani waliko ila wazazi wao wanahisi wameenda kujiunga na makundi ya jihad swali la kujiuliza tu upuuuzi huu wanaupata wapi Mungu hapiganiwi hata siku moja yaaan Kaumba vitu kibao na vingine ni maajabu tu leo hii ww juma ndo ukakinge kifua kumpigania Mungu hebu tuache ufala bwana.
Sikieni nyie msio ufahamu uislamu vizuri acheni kusikiliza maneno ya mtaani wanachofanya al shabab kwa mujibu wa magundisho ya mtume na Qurani ni batili na wala awaupiganii uislamu bali wanapigania vikundi vya watu vilivyopo kwa ajili ya maslahi yao tu ..Ni haramu kwenyw uislamu kujitoa uhai wako mwenyeweTatizo la kuishi kwa kutegemea maneno ya mtu flani.
Hawa watu watajilipua hadi mwisho wa dunia.
Kwakuwa wameambiwa hicho ndicho kipaumbele chao.
Ni kwamba hawaambiliki, wao ni kasema, kasema, kasema mtume.
Waacheni wafe tu hakuna namna.
judo na karate ni kwa ajili ya kujilinda na kwa afya yako mwenyewe mbona budha wanafanya ayo unayoyasema ..Ili kuufahamu uislamu inabidi uhusome ili uhuelewe siyo kwa kusikia maneno ya mtaani tu ...wavaa kobasi kwani wanajielewa? Kuna tatizo kubwa kwenye mafundisho yao hasa pale wanapoenda madrasa na kufundishwa judo na karate
Wanaowadhamini ndio awawezi kukubali ilo litokee kwasabab ya maslahi yao wanayopata apo somalia west wanatumia divide and rule kama njia ya kutawala middle east na nchi nyingi za kiarabu ivi vikundi ni vya kwao wenyewe wamevianzisha kwa malengo yao wenyeweHawa inabidi dunia iungane waingiliwe kijeshi Somalia isafishwe kabisa, haijulikani hata wanataka kitu gani wao ni kulipua tu.
😂😂😂Nyie si mpaka mapapa wanasapot waumini wao na kufungisha ndoa.Unaongea upinde wa mvua tuu naona ambao unawahusu pia, vipi ile kitu yenu mnayopenda sana ya bacha bazi, lets talk about it tumechoka unafiki wenu
Mabikra 7 sijui 70 ndo malipo hayo.😆😆😆Hivi wakiua ndio wanapata swawab sio? Championship 🙄
Hiyo dini Shulman Rushed alishaandika kitabu kwamba hizo ni "Aya za shetani" mijitu inageuka mizombi kabisaEbu fikiria hiyo roho ngumu wangeielekeza kwenye nguvu kazi?!
Si wangekuwa mbali kimaendeleo!
Mazuzu kabisa hayo
... kwa sababu ya wajinga wachache hao wasomi wanaishia Marekani na Ulaya. Sijui Afrika lini itajitambua.Ila wapo Wasomali wasomi Sana na wanafundisha vyuo vikubwa duniani na kuongoza mashirika ya kimataifa, kiteknolojia na kampuni kadhaa za kimataifa....ila wameshindwa kuisaidia nchi yao.
Unaweza kuwasikia YouTube.Narudia tena ivyo vikundi vyote vimeanzishwa ili kudhoofisha nchi zao ili wasipate pingamizi wanapochukua raslimali zao rejea msumbiji 70% ya raia wao ni wakristo lakini ilipogundulika gesi tu IS wakatia timu apo cabo delgado kwenye gesi kumejazana millitary base za west kama zote watu wanajichukulia migesi tu wanapeleka kwao cha kujiuliza mbona aya mambo ayatokei Saudi arabia, Oman,Dubai,Kuwait na nchi nyingine zinazojiweza kiuchumi? kwanini ni zile nchi dhaifu tu saudi arabia inaongozwa na mfalme, Dubai ivyo ivyo oman sultan na kwenye sheria za dola za kiislamu mifumo kama iyo aitakiwi inatakiwa kuwe na kHALIFA siyo prince wala sultan.
Waarabu wenu ndio mashoga wakubwa na waliwahasi watumwa wote waliowapeleka uarabuni na ndio maana hakuna uzao wa watumwa uarabuni. Tanzania maeneo yenye waislamu wengi ndio ushoga umeshamiri. Very hopeless.Angalia jina lako kwanza siongei na shoga ,kaliwe mbele!
Ilete hiyo kitu Tanzania, fikiria vile vidogo vya panya road , ile energy ya kukata watu mapanga wangeitumia kufanya utafiti huko mashuleni, hali ingekuwaje.... aisee; wangeielekeza katika academics, research, and innovation wangekuwa next level. Somalia ingekuwa inashindana na Japan in development.