samahani kama nimetumia neno baya, lakini ukweli ndio huo, nimesikiliza na kusoma basdhi ya hoja na maoni ya wapinga chanjo, nimegundua taifa hili bado linamzigo wa ujimga kwa asilimia 90, soma baadhi ya sabanu zao
huyu yeye anaamini alinayechoma hiyo sindano ni ummy mwalimu, kwaiyo anahoji, na kupitia hiyo picha ameona chanjo ni miyeyusho tu
huyu yeye anaamini alinayechoma hiyo sindano ni ummy mwalimu, kwaiyo anahoji, na kupitia hiyo picha ameona chanjo ni miyeyusho tu
