Uchaguzi 2020 Wapinzani hawako tayari kuongoza nchi

Mtahangaika sana.. Kura zote kwa Lissu.. mwambieni huyo mzee lissu atampangia kazi nyingine..
 
Mtahangaika sana.. Kura zote kwa Lissu.. mwambieni huyo mzee lissu atampangia kazi nyingine..
Tabutupu, nikuhakikishie tuu kuwa matokeo ya uchaguzi mkuu yakitoka, moyo wako na mioyo ya wengine waliopo upande huo wako itapata sawasawa na jina lako
 
Wewe popoma, mbona unalalamika tuu.. hueleweki
 
Hukuhitaji kuandika yote. Ungeandika hayo tu kumaanisha ulichotaka kutuambia. Binafsi nasema SITAKI ushauri wako.
Ndugu Mwakibete umejua kweli kubeti na uzi wangu.

Umekataa ushauri Ila mwisho kwa uamuzi wako umeamua kuwa kura yako ni kwa John. Hongera, uamuzi wa busara Sana huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…