Uchaguzi 2020 Wapinzani Kama Tume si huru kwanini mmekubali kushiriki na kusaini kanuni za uchaguzi?

Uchaguzi 2020 Wapinzani Kama Tume si huru kwanini mmekubali kushiriki na kusaini kanuni za uchaguzi?

Kama yanayosemwa na mkurugenzi wa NEC yote hayajakufuta huu ujinga (hali ya kutokuelewa, inayorekebishika), basi mimi siwezi. I just ignore you. Umezaliwa ili siku moja ufe na ujinga wako.
Kwa kifupi kabisa nina maswali mawili ambayo nataka majibu na si matusi.

Vyema pinzani vinapolalamikia kuwa time so huru, kwanini walikubali kushiriki uchaguzi ambao wanajua unasimamiwa na Tume isiyo huru?

Kwanini mlikubaliana na kanuni za uchaguzi zilizowekwa na tume ambayo si huru?

Sasa mnapovunja kanani na maadili ya uchaguzi ambazo mlikubaliana nazo na kusaini kwanini Tume isiwe na haki ya kuwawajibisha?

Kwanini unakubali kushiriki uchaguzi ambao una uhakika hata ukishinda hauta tangazwa kuwa mshindi Kama wenyewe mnavyo dai.

Narudia tena maomba majibu na si matusi.
 
Tume huru![emoji316][emoji316][emoji316]
JamiiForums2000245234.jpg
 
Bado akuna upinzani unao jielewa,miaka yote tume ndo hii na maneno ndo hayahaya ya kuibiawa kura na bodo wanachukua form na kusaini kwa yuleyule wanaemtuhumu.
 
Kwa kifupi kabisa nina maswali mawili ambayo nataka majibu na si matusi.

Vyema pinzani vinapolalamikia kuwa time so huru, kwanini walikubali kushiriki uchaguzi ambao wanajua unasimamiwa na Tume isiyo huru?

Kwanini mlikubaliana na kanuni za uchaguzi zilizowekwa na tume ambayo si huru?

Sasa mnapovunja kanani na maadili ya uchaguzi ambazo mlikubaliana nazo na kusaini kwanini Tume isiwe na haki ya kuwawajibisha?

Kwanini unakubali kushiriki uchaguzi ambao una uhakika hata ukishinda hauta tangazwa kuwa mshindi Kama wenyewe mnavyo dai.

Narudia tena maomba majibu na si matusi.
Umejitahidi kweli kweli.
 
Tatizo ni vyama vinavyoitwa vya upinzani lakini kiuhalisia siyo vya upinzani, ni matawi ya chama tawala. Sasa wapinzani wa kweli wakisusa, wenzao wala.

Niliwahi kuandika hapa, kudai tume huru ya Uchaguzi iwe agenda ya kudumu ya vyama vya upinzani siyo kusubiri wakati wa uchaguzi kwa sababu madai ya kuibiwa kura yamekuwepo muda mrefu sasa kwa chaguzi kadhaa zilizopita lakini hakuna mabadiliko yoyote.

Kinachojitokeza sasa ktk tume ya uchaguzi ni marudio tu ila sasa yamezoeleka hata hayana kificho tena, yapo wazi.
 
Tatizo ni vyama vinavyoitwa vya upinzani lakini kiuhalisia siyo vya upinzani, ni matawi ya chama tawala. Sasa wapinzani wa kweli wakisusa, wenzao wala.

Niliwahi kuandika hapa, kudai tume huru ya Uchaguzi iwe agenda ya kudumu ya vyama vya upinzani siyo kusubiri wakati wa uchaguzi kwa sababu madai ya kuibiwa kura yamekuwepo muda mrefu sasa kwa chaguzi kadhaa zilizopita lakini hakuna mabadiliko yoyote.

Kinachojitokeza sasa ktk tume ya uchaguzi ni marudio tu ila sasa yamezoeleka hata hayana kificho tena, yapo wazi.
Ila safari hii watatema meno.
 
Kama yanayosemwa na mkurugenzi wa NEC yote hayajakufuta huu ujinga (hali ya kutokuelewa, inayorekebishika), basi mimi siwezi. I just ignore you. Umezaliwa ili siku moja ufe na ujinga wako.
Huoni kuwa wewe ndio mjinga zaidi hapo?
 
Kwa kifupi kabisa nina maswali mawili ambayo nataka majibu na si matusi.

Vyema pinzani vinapolalamikia kuwa time so huru, kwanini walikubali kushiriki uchaguzi ambao wanajua unasimamiwa na Tume isiyo huru?

Kwanini mlikubaliana na kanuni za uchaguzi zilizowekwa na tume ambayo si huru?

Sasa mnapovunja kanani na maadili ya uchaguzi ambazo mlikubaliana nazo na kusaini kwanini Tume isiwe na haki ya kuwawajibisha?

Kwanini unakubali kushiriki uchaguzi ambao una uhakika hata ukishinda hauta tangazwa kuwa mshindi Kama wenyewe mnavyo dai.

Narudia tena maomba majibu na si matusi.
Tulisaini, na kuingia kwenye uchaguzi ili makosa hujuma ushenzi wizi na ujambazi wa ccm na serikali yake uwe wazi mbele ya jumuia ya kimataifa
WAWADUNGUWE VIZURI
 
Binafsi sina chama lakini maswali yako ni kuntu nami kila siku najiuliza hawa wapinzani kwanini wanaongelea kuingia barabarani kama Tume haitatenda haki wakati wanajua kabisa kuwa Tume ni zao la katiba mbovu,

Kwanini wasiseme watu waingie barabarani kudai katiba mpya ambayo ndio msingi wa hiyo Tume?
Nadhani umepata majibu sahihi kutoka michango ya watu
 
Tatizo ni vyama kama vya akina Shibuda, Mrema, Mbatia, na akina Lipumba, haya ni matawi ya CCM, chama halisi cha upinzani nadhan ni CHADEMA kama ingekuwa ni CCM na CDM tu ni uhakika CDM wasingekubali uchaguzi kufanyika bila tume huru, balaa ni kwamba CDM ikisusa tu basi akina CUF , TLP, ADATADEA nk wao watashiriki na uchaguzi utakuwa umekidhi vigezo vyote machoni pa mataifa yote.

Rejea balaa la JECHA huko 2015 baada ya kupindua meza na uchaguzi kurudiwa, wapinzani halisi walisusa na wapinzani vibaraka wakashiriki, CCM ilishinda takriban kwa 90% hivyo hakuna namna ya kususa uchaguzi ukadhani ni mbadala, tatizo ni hayo matawi ya CCM
Tanzania hakuna chama cha upinzani, hilo genge la Mbowe lishachuja. Wajiandae kuungana na kaka zao kina ACT, UDP na TLP.
 
Tulisaini, na kuingia kwenye uchaguzi ili makosa hujuma ushenzi wizi na ujambazi wa ccm na serikali yake uwe wazi mbele ya jumuia ya kimataifa
WAWADUNGUWE VIZURI
Watanzania wamewakataa.
 
Back
Top Bottom